Tafuta/Search This Blog

Friday, November 27, 2009

STRICTLY GOSPEL

Dont miss your copy, tayari lipo mtaani. Tshs 5000, Kshs 600, Ushs 8000 and $4.

Strictly Gospel, its all about the Gospel, foget the rest!!

Wednesday, November 25, 2009

Upareni

SBP ilipata nafasi ya kutembelea upareni wiki hii. Kulikuwa na mvua nyingi na hali yahewa safi sana. Hebu jionee taswira za huko. Haya ni maeneo ya Mwanga na kijiji cha Lambo.

Maji mengi kutokaka na mvua.

Kijani kibichi!!

Kanisa la kijiji cha Lambo!







Safi sana!



Praise and Worship evening with Tolla G

Kaka yetu Tolla G, amekuwa na maono ya kufanya ibada ya kuabudu na kumsifu Mungu itakayojumuisha marafiki zake na watu wote wa manispaa ya Arusha. Na kwa mapenzi ya Mungu ibada hiyo ilifanyika jumapili jioni ya tarehe 22 Nov 2009. Kwa kweli tulimwona Mungu. Zifuatazo ni baadhi ya picha katika tukio hilo la kihistoria.

Neno la ufunguzi kutoka kwa kaka Gee.


Agape choir kutoka Elerai. Hawa vijana wako vizuri sana!


Hilda F. Sedekia, mtoto wa Fanuel Sedekia pia alikuwepo kumwabudu Mungu pamoja nasi. She is good.


And the praise began... Benson (Lead guitar) Godlove (Bass)



Kaka Jimmy on the keyboard.





Kaka Tolla G leading the praise!




Kaka Andrew singing and dancing.



Sitoki hapa hadi unibariki!!




Yeeeahhh!!




Kujipongeza baada ya kazi ngumu. Kutoka kushoto, Myahudi, Andrew, Tolla G, Hannah, Godlove and Jimmy!
Kusifu kunawapasa wanyofu wa Moyo!!







Friday, November 20, 2009

Arusha MP 2010 and H.E President of Tanzania 2020, Godbless Lema.

Huyu ni Godbless Lema. Kijana wa kiTanzania mwenye maono na uchungu na nchi yake. Anaamini kuwa atakuwa mbunge wa Arusha wa mwaka 2010 na pia anategemea na anaamini kuwa atakuwa rais wa Tanzania 2020!!!
Mimi nilipoongea naye kwa kweli alikuwa amejaa hekima nyingi na kwa kweli anazo qualities za uongozi. Wananchi ndio watako amua sisi SBP tunamtakia kila la kheri ili ndoto yake itimie siku moja na awe rais kijana wa Tanzania siku moja.

Pichani mheshimiwa Rais Godbless Lema akiwa na mheshimiwa waziri wa mambo ya nje, kaka Gee. Mambo ya mwaka 2021!!!!!!
Kama hutaki jifungie ofisini mwako usiondoke leo!!

Jojo Jose Mwakajila

Nilikutana na mtumishi Jojo kwenye tamasha fulani wiki iliyopita. Nafurahia sana anapoimba na kucheza na hasa anapoimba wimbo wa UMEUMBWA UTAWALE.

...hapa ni pale anaposema utaingia mbinguni lakini utafika "choka mbaya"



pozi la kutawala!!






Mke wake, Matilda akamjoin kwenye step...





Haya twende...



Yooote haya ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu!!
Mungu akubariki kaka Jojo Jose.

Mlo wa Jumapili mchana


Nilipata nafasi ya kula chakula cha mchana cha jumapili katika hoteli ya kisasa ya Aquilline katika manispaa ya Arusha. Nikachagua kula wali na kuku wa mchuzi. Chakula kilichelewa kuletwa lakini kilikuwa kitamu kwa kweli na nilipenda walivyokiandaa.

Calvary Temple Development Complex



Mambo yanaendelea, na sura ya jengo na eneo inazidi kubadilika. Habari ndio hii!!

Thursday, November 19, 2009

Tafakari...

Arusha.


Nilipokuwa natoka Arusha kuja ofisini kwangu KIA juzi, jana na leo nimekuta kuna shughuli nyingi barabarani za kusafisha barabara, kupaka rangi zile alama ambazo zilikuwa zimefifia kama hizi za zebra crossing na ile mistari ya katikati ya barabarani lakini jambo lililo nichekesha ni pale nilipokuta mafundi wanaweka mchanga katikati ya yale matuta aina ya rasta eti kupunguza makali ya hayo matuta kwa ajili ya ugeni VIP uanaotarajiwa kuja hapa nchini leo jioni.


Sasa ndugu zangu mimi jambo linalonipa shida ni kwa nini haya mambo yanasubiri wageni?? Kwani sisi wenyeji hatuhitaji barabara nzuri. Tunatoa kodi za kila aina lakini hawafanyi mambo yanayostahili kuturidhisha. Hii ni sawa na familia inayoweka vitu vizuri kama vyombo vya chakula kabatini hadi siku wakija wageni ndio wanatoa vitumike, kila siku wao wanatumia vyombo vikuu kuu vya plastic!!


Hebu serikali na itafakari kuhusu hili na ifanye mambo mazuri kwa raia wake bila ya kusubiria wageni kwanza....


Tafakari....


Chukua hatua....

NB: Picha hapo juu haihusiani na habari hii.

Tuesday, November 17, 2009

Graduation ya Pastor James Andrew.

Familia ya James Andrew ktk picha ya pamoja
Wadau, Amani (Amkid), Isaya Mwalyambi pamoja na Familia ya James Andrew Siku ya graduation

Maakuli. SBP kwa mbali tunaonekana... Kaka Enson akiwa anachukua matukio...


Mama na mwana (Erica na mwanae Abigail) ktk graduu

Wachungaji wakiongozwa na Askofu Lazaro

Taji Wife akivisha taji kwa mhitimu

Pozi la Hotuba

James Andrew (Former AGBC President)


Askofu wa kwanza wa TAG ambaye ndiye alikua Mgeni rasmi ktk mahafali... Askofu Emmanuel Lazaro



Keki ya baada ya mahafali akiwa na kijana mwingine aliyehitimu kozi ya kiingereza





The same Queen Elizabeth of England with Eleven presidents of USA

Queen Elizabeth with Harry S. Truman

Queen Elizabeth with Dwight D. Eisenhower



Queen Elizabeth with John F. Kennedy


Queen Elizabeth with Richard Nixon



Queen Elizabeth with Gerald Ford





Queen Elizabeth with Jimmy Carter




Queen Elizabeth with Ronald Reagan



Queen Elizabeth with George Bush



Queen Elizabeth with Bill Clinton



Queen Elizabeth with George W. Bush


Queen Elizabeth with Barack Obama


That is awesome!!
Post courtesy of our friend Danford Nyandindi.