Tafuta/Search This Blog

Monday, August 30, 2010

Kigogo TAG yarindima. Kaka lao Fadhili atangaza nia.

EliFAdhili (Solomon) Haaamini kama ni yeye,... unajua kwa hawa wanaoruhusiwa kuoa mke mmoja inakuaga ni first experience... inaogopesha.
Catherine akiwa na sura ya kujiamini. Kuolewa raha wewe
Haya umati ukimpokea kwa shangwe Kaka Fadhili na kumpeleka mbele ya Mimbari ya Kanisa la TAG Kigogo
Wapambe wakifurahia. Amani Iddy Kitomari Kushoto na Joseph Mbunda (Maarufu Joseph Nyuki) Kulia
Anameremeta. Catty anameremeta,...

Pete.

Mkono wa pongezi

Maombezi ili uchumba ufikie NDOA. pasiwe na DOA

Baadae lilifanyika bonge la Party.

Watoto wa Uswahilini walibeba wali kwenye Mashati...

Thomas and Pendo.

Waooo.
Pozi za kisikuhizi


Ya zamani hii..

Music kama kawaida.

Sunday, August 29, 2010

Casual sunday - Calvary Temple

Katika kuumalizia mwezi wa kusifu na kuabudu mwaka huu, Calvary temple jumapili hii tumekuwa na ibada ya kusifu na kuabudu na tukiwa tumevaa casual ili kuwakaribisha wale ambao wangetamani kuja kanisani lakini wanafikiri kanisani ni sehemu ya mavazi maalum!!

Katika ibada hii tulipata nafasi ya kuabudu na kumsifu Mungu na watu kadhaa walitoa maisha yao kwa Bwana Yesu!!

Zifuatazo ni taswira za ibada hiyo:





Friday, August 27, 2010

Thursday, August 26, 2010

Stanley na Jennifer ndani ya A-city!

Arusha tulipata ugeni wa kaka mkubwa Stanley Msami pamoja na mchumba wake Jeniffer ambao walikuwa katika ziara ya ukanda huu wa kaskazini mwa nchi ili kumtambulisha mke wake mtarajiwa. Familia ya kaka Gee ilibahatika kuwahost na kuwapa mausia ya kabla ya ndoa maana ni jambo la muhimu sana!!
Hizi ndio taswira zenyewe!

Stanley na Jennifer


kaka mkubwa na kaka mdogo!

Mrs Gee na Jennifer, mambo ya kupeana ujuzi!



Familia mbili pamoja!

Stanley na Jennifer wanatarajia kufunga ndoa yao mapema mwakani. Sisi SBP tunawatakia maandalizi mema katika kipindi hiki cha "kusubiri"

Send off Party ya Stellah J Mangare.. 30 July 2010

Stela wetu huyu wa Ukweli. Mtoto wa Kipare
Mtoto Jicho.


Shem letu, Erick Marley (Inasemekana ukoo wake ni mmoja na Bob Marley)

Chiaaaaaz,


David Mangare (Kushoto) akimkabidhi Stellah kwa Mshenga.



Mpambe wa ukweli











Stellah Mangare ktk Kitchen Party.

utamjua?Stellah
Mapishi
Sasa natunywe

Raha ya Kitchen Party ni Vyombo bwana.

Tuesday, August 24, 2010

Uchaguzi huu...


Vijana wa kamanda Tossi (FFU) wakiwa katika mavazi ya kisasa ya kufanyizia wanaojifanya wajanja wakati wa uachaguzi. Mtakoma mwaka huu, mpambano wa mawe kama Tarime mwisho!!


Post credit: Sumo

Picture credit: Sumo

Friday, August 20, 2010

Mambo ya Azam FC


Ligi kuu ya Tanzania Bara inaanza rasmi tena wiki hii na timu zinaelekea katika vituo vyao. Timu ya Azam FC imekuja arusha kupambana na AFC ya hapa ambayo imepanda daraja msimu huu. Watapambana kesho katika uwanja wa sheikh Amri Abeid Karume. Leo nilikutana na wachezaji wa Azam FC wakiwa mtaani hapa Arusha na kwa kweli nilifurahia sana basi lao la ukweli. I wish kila timu ingekuwa na basi kama hili!!

Tuesday, August 17, 2010

Hatimaye Mr&Mrs Mwakajila na mtoto mpya...

Matilda Mlay au Mrs Jojo Jose Mwakajila hatimaye amerejea tena baada ya kupata mtoto wake wa kwanza hivi karibuni. Hizi baadhi ya taswira alipokuja kutoa sadaka ya shukrani Calvary Temple Arusha jumapili iliyopita.




Mara...


Usishangae! Wakati mwingine furaha iliyozidi huelezewa na machozi!! Matilda akifuta machozi, mume wake akiwa "serious" na mama Ringo akiwa amembeba mtoto. What a moment!!
Its good to give thanks to the Lord!!



Sunday, August 15, 2010

To worship you i live


Kaka Leonard Swai akiwa amepozi na tshirt yake yenye maneno TO WORSHIP YOU I LIVE.

Tshirt hii ni moja kati ya products zetu. Unaweza ukaorder ya kwako na ukatengenezewa.

Saturday, August 14, 2010

Taswira za Arusha weekend

Maeneo ya karibu na Kisongo airport, panaitwa Shanga.

Kona mbauda.




Sijui ni baridi au kukata tamaa...