Tafuta/Search This Blog

Saturday, July 31, 2010

Hey, We are graphics designers

We are pleased to inform you that we can design graphics for all your needs. We can design web banners adverts and function cards at a very reasonable price. Discount will be given to all Shalom Broz followers. Here are the samples of some of our works.






















We can also design and print Tshirts!! Please call us or email us for more information.
One among the tshirts that we have already printed

Lets make it happen!!!!!!!!

Tuesday, July 27, 2010

Medani za Siasa

Pweza Paulo alipopewa kutabiria mahasimu wawili wa uchaguzi mkuu wa Tanzania Oct 2010.

Thursday, July 22, 2010

Fuso pori

Hapa fuso inasubiri kukamilisha kupakizwa mzigo na kuanza safari...

Kijenge chini- Arusha.

Monday, July 19, 2010

Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro!

SBP ilipata nafasi ya kutembelea maeneo ya Ugweno katika wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. Hizi ni taswira za huko na kwa kweli Tanzania bado ni nchi nzuri ya kupendeza!!

Huko ni fullu maDish yaani ni mahabari na kila kitu cha lininga!!



Hili ni ghorofa lililojengwa kabla ya miaka ya 1945 na hadi leo lipo gado kama linavyoonekana. Ajabu!

Kinyozi siriazi!!

Usifanye mchezo na kazi za watu!!

video kwa hisani ya MarafikiHuru.

Sunday, July 18, 2010

Moshi tena...


Nilipata nafasi ya kuutembelea mji msafi wa Moshi weekend hii. Nilipokuwa kwenye kituo chao cha basi(bus terminal) ambayo kwa kweli ni ya kisasa, nilipiga hii picha. Nikagundua kitu kimoja kwamba maaskari wa usalama barabarani ndio wanaoshughulika pia na kuyapanga mabasi hapa kituoni na kuhakikisha hakuna matatizo yeyote yanayofanywa na madereva wa mabasi. Hii niliipenda. Lakini pia nikaona jambo jingine ambalo dada yangu Subi ataniunga mkono kwamba matangazo ya biashara (mabango) yamekuwa mengi sana. Kwa upande huu niliopiga picha tu nimeyahesabu yako 9!! Inawezekana kufanyika kitu cha kuyapunguza ili miji yetu ipendeze zaidi?? Nawakilisha!!