Tafuta/Search This Blog

Thursday, June 13, 2013

Whenever i have a Problem...


Tumempata Grace E. Msuya!!


Hatimaye kwenye familia ya mmoja kati ya wakurugenzi wa SBP, ndugu Enson pamezaliwa binti mwanana ambaye amepewa jina la Grace(pichani). Grace alizaliwa tarehe 5 May Dar Es Salaam akiwa ni mtoto wa kwanza katika familia hii. Mama wa mtoto, dada Rest pamoja mtoto mwenyewe wako salama kabisa.

Pongezi nyingi kutoka SBP.