
May na Nuru wakitoa zawadi kwa Enson, Du ilipendeza kupita kiasi

Mawasiliano hayakubaki kwa nyuma, Km kawa, Xtrim, Jirushe na Chizika hadi ktk Graduu

Baba Mkubwa wa Enson Akimvisha En Taji la haja.

Grace katika harakati

Mgeni wa Heshima ktk Maandamano, Mr Samwel Malecela (Mb)
ambaye ndio Mkuu wa chuo OUT
No comments:
Post a Comment