
Nilivutiwa sana na maonesho katika Banda hili, hata nikaomba mwelimishaji anipige picha.
Wanashughulika sana na mionzi kama ilivyo ya Urani.

Athari za muda mfupi kwa atakyegusa mionzi kama ya Uraniam


Mwelimishaji aliniambia kuwa mpaka kuweza kutengeneza umeme hapa tanzania, inaweza kuchukua hata miaka kumi au zaidi. Hivyo tuna safari ndefu.
Mamaaaa! kumbe mbaya hii madini e?
ReplyDelete