
Makazi haya ni ya Mtanzania wa kawaida ambaye ukimuona huku town kamwe huwezi kubaini kama wazee ndio wanaishi hapa. Mtanzania wa kawaida ni yule anayepata milo miwili hadi mitatu kwa siku.

Ugali wa ndizi tulioandaliwa wageni WAHESHIMA tulipotembelea makazi ya watanzania hawa wa kawaida.

Kwa mbaaaaali ile ni sitting room
No comments:
Post a Comment