Hatimaye kijana wetu amekuwa Morani baada ya sherehe za kimila zilizofanika huko mkoani Manyara wilaya ya simanjiro kijiji cha Terat.

Kijana wetu Joseph Msami akiwa katika mavazi rasmi baada ya kuwa Morani.
Hapa Kijana wetu alihudhuria moja ya sherehe ya kimila ya LAION yaani vijana wadogo ambao hawajatahiriwa.
No comments:
Post a Comment