Tafuta/Search This Blog

Sunday, August 31, 2008

Karibuni!!

Ndugu wapendwa tunapenda kuwa taarifu kwamba kuanzia sasa unaweza kutuma picha zako na taarifa zozote zile na sisi hautasita kuzipublish katika hii blogu yetu. Jamani msiatuache peke yetu tunahitaji maoni na michango yenu mbalimbali.

Tuma picha na vitu vyote unavyoona ni productive kwa kupitia emails zifuatazo; godlovegordon@gmail.com, enson79@yahoo.co.uk na tangij@yahoo.com.

Unaweza pia kutupata katika namba zifuatazo za simu; 0784 494906, 0784 992221 na 0756 025428. kwa wale mlio nje ya nchi msisahau kuanza na +255.

Tunawapenda sana!!

-Shalom Broz Productions.

Tuesday, August 26, 2008

Blandina


Maggie


Allan


Dickson


Lina


Joshua

Kidhibao!!!

Mwisho kabisa.

Kuna wakati ilibidi kufuta machozi maana kuna ka uchungu kakiaina kanakuwepo unapotakiwa kuiacha familia na hasa ndugu wazuri kama Shalom broz!! Sista alikuwa analia pale mwishomwishoni!
Duh lakini Bwana Shem naona sijui ndio ameweka pozi gani hapa....

Na hadithi ikaishia hapo. Sisi Shalom Broz tunawatakia maisha mema ya baraka huko muendako. Mpate watoto na sisi tupate wajomba.

Tummogele tummogele.....tummogeleeeeeeeee!!!

Picha zote zimepigwa na Enson na TangiJ.

Tafadhali usitumie picha hizi bila kibali chetu... ni afadhali utuombe na tutakutumia nzuri katika inbox yako.

Tahadhari: WAKAIDI WOOOTE TUTAWALOGA!!

mwisho mwisho