Tafuta/Search This Blog

Showing posts with label Godluv. Show all posts
Showing posts with label Godluv. Show all posts

Sunday, July 17, 2016

Happy Birthday to My boys!

17th July is a very special day to us as we celebrate God's gifts to our lives. God has given us Gratian and Godlove Jr in 2011 and 2014 respectively.
So, Grats is turning 5 and GJ is turning 2. God has been so good to these boys and we are so grateful for his divine protection and love.

Please share our joy of parenting this two mighty men!
























Thursday, December 17, 2009

Dada Asumpta na kaka Timo!!

Mpendwa dada yetu Asumpta hatimaye aliuaga ukapera na kuingia kwenye maisha ya ndoa na kaka Timothy tarehe 21 Novemba mwaka huu. Arusi ilifungwa katika kanisa la Zion City Church Arusha na sherehe zilifanyika katika hoteli ya Arusha Corridor Spring.

Zifuatazo ni picha za tukio hilo kubwa...


Kwa pete hii, nakupokea wewe .....!!!

Huu ni mkataba wa kisheria kwa hiyo ni lazima kuwe na signature kwamba mmekubaliana!!

Signature!!
Mambo tayari! Kanyaga twende.
Pamoja na mashahidi wao, Mr&Mrs Mngodo.
Pooooziii la bibi arusi.


Mzee wa kiwese kaka Elisha pamoja na mkewe dada Miriam...


Na hadithi imeishia hapo.
Timothy na Asumpta ni waajiriwa wa Compassion International (CIT) makao makuu.
SBP inawatakia maisha mema ya ndoa, Mungu awatangulie mpate watoto muwe na amani siku zote.
NB: Kwenu kaka Andrew Msegu na kaka Raphael Lyela... inueni macho juu maana mavuno yapo tayari!!
Siwezi kuchukiwa kwa kusema ukweli!!

Monday, December 14, 2009

Usalama kwanza...


Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la matumizi ya pikipiki kama chombo cha usafiri hapa Tanzania. Ni kweli kwamba kimerahisisha sana usafiri lakini kwa kweli suala la usalama kwa watumiaji wa chombo hiki limekuwa haliwekewi mkazo.
Nilikutana na bwana huyu kwenye barabara ya Moshi Arusha alikuwa hajavaa helmet na alikuwa anapeta tu na tulikuwa tumepishana na askari wa usalama barabarani aliyekuwa busy kuyasimamisha malori na mabasi ya abiria nadhani pia ni kwa sababu huko kuna rushwa.
Kuna kila sababu ya watumiaji wa vyombo hivi vya usafiri kuwa makini na kujali usalama wao kabla maafa hayajawakuta.
Nimewasilisha!!

Wednesday, December 2, 2009

PRIORITIES

There is an old story of a swan and a crane.

A beautiful swan landed by the banks of the water in which a crane was wading about seeking snails. For a few moments the crane viewed the swan in stupid wonder and then inquired: "Where do you come from?" "I come from heaven!" replied the swan."And where is heaven?" asked the crane."Heaven!" said the swan, "Heaven! Have you never heard of heaven?" And the beautiful bird went on to describe the grandeur of the Eternal City. She told of streets of gold, and the gates and walls made of precious stones; of the river of life, pure as crystal, upon whose banks is the tree whose leaves shall be for the healing of the nations. In eloquent terms the swan sought to describe the hosts who live in the other world, but without arousing the slightest interest on the part of the crane. Finally the crane asked: "Are there any snails there?""Snails!" repeated the swan; "no! Of course there are not.""Then," said the crane, as it continued its search along the slimy banks of the pool, "you can have your heaven. I want snails!"

This fable has a deep truth underlying it. How many of us are daily sacrificing the riches of Gods grace for the snails of sin? One of the things I have learned is that my values determine how I set my priorities.

MATTHEW 6:23 But seek first the kingdom of God and His righteousness and all these things will be provided for you.
What are the first three things that have priority in your life? Is it your relationship with God, your job, your family, or your car or house? What is the thing that you are seeking first? Is it the kingdom of God or the snail’s of sin? Whatever you do, you need to ask yourself if it has eternal value or if it is perishable.

Someone decided to calculate how a typical life span of 70 years is spent in terms of priority and this is what he came up with:

Sleep................23 years...........32.9%
Work.................16 years...........22.8%
TV....................8 years...........11.4%
Eating................6 years............8.6%
Travel................6 years............8.6%
Leisure.............4.5 years............6.5%
Illness...............4 years............5.7%
Dressing..............2 years............2.8%
Religion............0.5 years............0.7%
Total................70 years............100%

This morning as you plan your day I hope your spiritual walk with God will take priority and not come in last. There are many things that will be screaming for your attention today. The mistake many of us make is that we do all we can do then we give God the remaining time if there is any.Reverse the order. Give God all the time you need with Him and then let the other things fit within the time you have leftSeek first the kingdom of God and His righteousness and all these things will be provided for you

PRACTICAL APPLICATION
Learn to begin with God in your time, finances family, work, and then use the rest for other things.

-Activate.

Friday, November 20, 2009

Mlo wa Jumapili mchana


Nilipata nafasi ya kula chakula cha mchana cha jumapili katika hoteli ya kisasa ya Aquilline katika manispaa ya Arusha. Nikachagua kula wali na kuku wa mchuzi. Chakula kilichelewa kuletwa lakini kilikuwa kitamu kwa kweli na nilipenda walivyokiandaa.

Tuesday, August 4, 2009

MEET THE FIRST DOG

Na kama ulikuwa hujui kuwa mbwa wa rais ni rais wa mbwa wengine fahamu leo kutoka kwangu. Najua unaweza ukaanza ubishi na nini lakini ukweli ndio huu....

Huyu mbwa anaitwa Bo, huyu sasa ndio mbwa wa Kaka Obama prezzoo wa USA. Kwa kuwa mke wa rais anaitwa first Lady na familia yake inatambulishwa kama first family kwahiyo huyu mbwa pia anatambulishwa kama FIRST DOG, yaani mbwa wa FIrst family au rais wa mbwa wengine woooote wa marekani!!

Nimewakilisha!!

Wednesday, July 22, 2009

Amphibious tour vehicle!!

Kushangaa sio dhambi!!


Abiria wanapanda, (Boarding)


Safari ya nchi kavu inaanza


Safari inaendelea na bahari inaonekana kwa mbali, gari linaanza kutamani maji, linayafuata..


Dumbwii, kwenye maji na safari inaendelea!

Safari imekwisha na gari linarejea nchi kavu.



Hili sijui niliite gari au boti linapatikana huko San Diego. Kama ambavyo umeona linaweza kutembea kwenye nchi kavu na hata likiingia kwenye maji safari inaendelea. Natamani lingekuja Tanzania na hasa Dar es Salaam. Lazima kungekuwa na route ya Gongo La mboto - Kigamboni!!
Dada Subi upo hapo???

Monday, June 29, 2009

Casual Sunday at Calvary Temple Arusha.

Kila mwaka kanisa la Calvary Temple linakuwa na jumapili moja tunayokuja kanisani kikawaida kabisa na kuwa na ushirika pamoja na hasa lengo likiwa pia kuwakaribisha marafiki na ndugu kanisani.

Jumapili ya tar 28 Jun ndio ilikuwa siku hii katika mwaka huu wa 2009.

Wapendwa katika ibada ya kwanza, kulikuwa na kabaridi!


We praised and danced before him!!

Kaka Jimmy leading the praise.


Tukamwabudu Mungu!

Tukamwimbia Mungu nyimbo za Shukrani!!
Teens wakidance

Then, kulikuwa na wakati wa kueleza yale mambo Mungu amefanya katika maisha yetu.
Dada Esther akishuhudia vile Mungu alivyomponya.
Nothing is impossible to Him!
Ndugu Minja akishuhudia vile Mungu alivyomtoa katika madeni makubwa na sasa ni mfanyabiashara aliyefanikiwa sana!!


Watu wengi walikubali kuyatoa maisha yao kwa Yesu!
Nadhani watu kama 30 hivi walirespond to the alter call!!
Then muda wa kushare kikombe na mkate ukafika.


sio music tu, hata kwenye misosi tumo!!


YESU NDANI YANGU AKUPENDA WEWE!!

Kaka Gee na Mchungaji W Kimaro after the 2nd Service.

Na mwisho kabisa

*

*

*

*

*

*

*

*

*

*

*

Kaka Gee alikuwa amevaa number 73... kumbe kuna huyu mdada naye alivaa number 72!! Ilibidi kuiibia hii picha!!