This is a production house where you will meet talented young men producing Video and graphic designing! SBP ina wataalamu wafuatao: Enson Msuya - Video and imagery specialist, marketing. Godlove Lwendo - Graphic Designer. You can contact us by these numbers, +255 784 494906, +255 756 025428 We will be more than ready to serve you for any of the service you will need from us as we have described them thereup.
Tafuta/Search This Blog
Thursday, May 16, 2013
Thursday, April 25, 2013
One beautiful evening around lake Victoria...
Wednesday, April 17, 2013
Wednesday, April 10, 2013
Samaritan's Purse at Kigogo TAG last Sunday
Watoto wakiangalia zawadi zao
Wanachekelea kwa furaha
Mabox yenyewe
Solomon naye alikuepo
Zawadi hizi zinatoka Marekani kwa watoto wa huko kuja kwa watoto wa Tanzania....
Friday, April 5, 2013
Hii nzuri sana...
Tuesday, March 26, 2013
Ni kweli huwa simba anazaa wakati huu??
![]() |
| Mvua kubwa ya jioni wakati jua bado linawaka sana. |
![]() |
| Hapa ni KVCC Mwanza. |
Tangu nikiwa mdogo, nimekuwa nikisikia kwamba ukiona mvua inanyesha na jua linawaka ujue Simba anazaa.Juzi nikakutana na hili tukio tena lakini hii ya juzi mvua ilikuwa kubwa sana wakati jua linawaka. Kuna mtu anajua ukweli wowote??
Ila cha msingi ni kwamba msimu wa mvua umeanza!
Wednesday, March 20, 2013
Salma Cone Mwanza hapa...
Sunday, March 17, 2013
Please Vote for our very own doctor Naiz!
Dear Friends and colleagues,Please vote for me, I applied for grants in grand challenge Canada with an Idea of setting up a local RHD control program in lake zone/Mwanza, kindly follow the link below which will direct you to vote.Thank you very much for your assistance on this.Please help me by telling others too.NaizPediatric Cardiology FellowWolfson-Israel
Saturday, March 16, 2013
Mdogo wetu Maria Mtili ametunukiwa Diploma ya Teknolojia ya Mawasiliano (IT)
Mwaka umeanza na shangwe pia zimeshaanza. Mdogo wetu hatimaye amefanikiwa kumaliza masomo yake na kutunikiwa diploma katika taasisi ya IIT hapo Dar Es Salaam. Hizi ndio picha za tukio.
| Pozi la kisomi. |
| Mdada. |
| Mama na binti yake. |
| Mfanano, kama mtu na dada yake. |
| Fullu tabasamu... |
| Hongera dada. |
| ...Na hasa kama una akili... |
| Zaidi ya diploma binti huyu pia alipata tuzo kadhaa kwa kuwa mkali sana darasani. |
Tunakupongeza sana mdogo wetu na tunakuombea heri ili uende mbele na mbali zaidi.
Hongera nyingi kutoka kwa kaka mkubwa Godlove.
Subscribe to:
Posts (Atom)
.jpg)





