Weekend iliyopita nilikwenda kumsalimu babu yetu huko katika milima ya ugweno. Nilipiga picha kidogo ambazo naona itakuwa vyema na ninyi mkaziona.


Nilipenda sana hili pozi la hawa marafiki wawili niliowakuta nyumbani kwa babu yangu. Yani huyo Mbwa hana noma kabisa akiwa na huyu Paka kiasi kwamba kuna wakati utakuta wanapiga stori zao na hakuna tatizo kabisa. Hapa walikuwa wameshiba na wanaanza kupata kausingizi ka mchana!!
Nice time wadau...
No comments:
Post a Comment