Kikundi cha praise and worship, TAG Kigogo kimeanzisha ibada za kusifu na kuabudu mara moja kwa mwezi jumapili jioni. Ibada ya kwanza ilikuwa tarehe 22/03. kwa kweli ilifana na kila mtu alitamani kuona hiyo ibada itakayofuata! Kama upo Dar unakaribishwa!!
KUSIFU KUNAWAPASA WANYOFU WA MOYO!!
No comments:
Post a Comment