Sasa haya mashimoyaliyowazi ni mengi sana hapa Geneva yetu. Sijui ni kwa sababu wenzetu wanapita huku barabarani na magari kwa hiyo haya hayawahusu?? Haya yako wazi kwa enzi!! Kuna siku mzee moja alitumbukiza mguu humu ndani ya shimo kuteguka! Jamani sina la kusema ila kama unakuja Arusha uje umejiopanga la sivyo ziara yako itaishia kwenye mashimo ya jiji!!
This is a production house where you will meet talented young men producing Video and graphic designing! SBP ina wataalamu wafuatao: Enson Msuya - Video and imagery specialist, marketing. Godlove Lwendo - Graphic Designer. You can contact us by these numbers, +255 784 494906, +255 756 025428 We will be more than ready to serve you for any of the service you will need from us as we have described them thereup.
Tafuta/Search This Blog
Monday, May 24, 2010
Be careful!...you are in ARUSHA
Nitaonekana kama ninapenda sana kuwasakama viongozi wa jiji letu la Arusha kwa kuandika haya ninayoandika, lakini huu ndio ukweli kwamba hawa wenzetu wamejisahau sana kwamba wanatakiwa kutimiza wajibu wao! Nilipokuwa natembea mjini jana nilipiga picha hizi ili ndugu zangu muone na wao kama watapata nafasi ya kuangalia waone. Natamani sana kama siku moja kiongozi yeyote wa hili jiji letu atanitafuta ili nimwambie vile ninahasira. Jamani kama mnawafahamu hebu waambieni kwamba mimi ninawasakama huku!!
Hapa ni katika barabara ya sokoine karibu na Metropole. Hili lipo tangu alhamisi... Ila nimependa huu ubunifu wa kuweka miti!!



Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Yeah......that thing z more than a just chaos........hate irresponsible personnel hawa wa Jiji......nasema acheni kuraraaa...
Post a Comment