Hapa ni ubungo, kuna power plant kubwa na upande wa pili kuna mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme kwa kutumia Gas. Lakini ajabu ni kwamba eneo hili liko busy na shughuli za wananchi. Kuna wanaouza mboga na matunda kuna wanaouza mitumba kuna wanaouza DVDs na vitu vingine vingi bila kusahau wanunuzi wao! Sasa mimi hadi sasa hivi sijaelewa kwamba yakitokea maafa hapa tutamlaumu nani?? Tutamlaumu Mungu, au Tanesco kwa kuweka mitambo hapo? au City Council kwa kushindwa kutukataza kufanya biashara hapo? au tutamlaumu mwananchi kwa kununua bidhaa hapo? au labda mtanilaumu mimi kwa kuandika haya??
This is a production house where you will meet talented young men producing Video and graphic designing! SBP ina wataalamu wafuatao: Enson Msuya - Video and imagery specialist, marketing. Godlove Lwendo - Graphic Designer. You can contact us by these numbers, +255 784 494906, +255 756 025428 We will be more than ready to serve you for any of the service you will need from us as we have described them thereup.
Tafuta/Search This Blog
Tuesday, December 21, 2010
Ndio Zetuuu!
Kuna wakati huwa sielewi kwamba tatizo liko wapi. Kwa mfano kwenye hii picha hapa chini...
Hapa ni ubungo, kuna power plant kubwa na upande wa pili kuna mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme kwa kutumia Gas. Lakini ajabu ni kwamba eneo hili liko busy na shughuli za wananchi. Kuna wanaouza mboga na matunda kuna wanaouza mitumba kuna wanaouza DVDs na vitu vingine vingi bila kusahau wanunuzi wao! Sasa mimi hadi sasa hivi sijaelewa kwamba yakitokea maafa hapa tutamlaumu nani?? Tutamlaumu Mungu, au Tanesco kwa kuweka mitambo hapo? au City Council kwa kushindwa kutukataza kufanya biashara hapo? au tutamlaumu mwananchi kwa kununua bidhaa hapo? au labda mtanilaumu mimi kwa kuandika haya??
Nimeamua kumuachia Mungu....
Hapa ni ubungo, kuna power plant kubwa na upande wa pili kuna mtambo mkubwa wa kuzalisha umeme kwa kutumia Gas. Lakini ajabu ni kwamba eneo hili liko busy na shughuli za wananchi. Kuna wanaouza mboga na matunda kuna wanaouza mitumba kuna wanaouza DVDs na vitu vingine vingi bila kusahau wanunuzi wao! Sasa mimi hadi sasa hivi sijaelewa kwamba yakitokea maafa hapa tutamlaumu nani?? Tutamlaumu Mungu, au Tanesco kwa kuweka mitambo hapo? au City Council kwa kushindwa kutukataza kufanya biashara hapo? au tutamlaumu mwananchi kwa kununua bidhaa hapo? au labda mtanilaumu mimi kwa kuandika haya??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Nashangaa, wakiambiwa watasema wananyanyaswa..
Post a Comment