Barack akila kiapo kwa ajili ya majukumu yaliyo mbele yake!!

First Lady na Prezzoo wakipunga kwa wananchi.
Kama na sisi waTanzania tungeipenda nchi yetu na kuwa wazalendo kama wamarekani, nadhani tungekuwa mbali kidogo. hili ni jambo la kujifunza kwa kweli.
No comments:
Post a Comment