Kisha akamkumbatia na kumbusu baada ya kula keki...
Wafanyakazi wenzake na Fadhili (VETA) wakiongozwa na mkurugenzi mkuu wao wakipiga picha ya ukumbusho baada ya kumpa kijana wao mkono wa pongezi.
SBP inawatakia Fadhili na Catherine maisha mema ya ndoa na heri na fanaka!
No comments:
Post a Comment