Tafuta/Search This Blog

Friday, December 16, 2011

African Music




Kati ya vitu ambavyo Mungu aliwakirimia waAfrica ni kipaji cha muziki. Watu katika mazingira magumu waliyomo lakini bado wanasauti nzuri sana za kuburudisha unapozisikia. wakati leo mataifa yaliyoendelea yanalia hali mbaya ya uchumi, sisi tumezaliwa katika hali mbaya ya uchumi lakini bado tuna kitu cha kuimba na kufurahi.

Msikilize Lokua Kanza na sauti tamu sana. Ni mmoja kati ya wanamuziki wa Africa ambao kila anachoimba ninaweza kusikiliza!

Mungu Ibariki Africa.