Tafuta/Search This Blog

Tuesday, December 29, 2009

Matilda's Send off party




Beautiful Matilda.





Binti wa Nkanda tartiiiibu akijisogeza ndani ya ukumbi.



Rev John& Aneth Nkanda



Mama Lwendo

Inajieleza!

Godlove, Esther and Joshua ready for the party.



tabasamu kuuubwa.

Matilda atua Dar.


Receiving a hug from the husband to be, Godlove.

With brother Fumbuka.

Wifi Esther akilinda tunda.

"A rose for you dear" welcome home.


With sister Eliza.
Matilda amewasili jumamosi iliyopita akitokea London UK kwa ajili ya maandalizi ya arusi yake na mmoja wa wamiliki wa SBP kaka Gee itakayofanyika tarehe 3 january.

Thursday, December 17, 2009

Mrs. Joyce Mmbaga.

Mpendwa wetu Joyce mke wa mshika dau wetu wa karibu Simon Mmbaga hatimaye aligraduate shahada yake ya kwanza aliyoisotea kwa miaka 3 katika chuo cha ushirika Moshi (MUCCOBS).
Kama kawaida SBP kwa kuzingatia mchango wa familia hii katika maendeleo ya vijana ilitia timu katika sherehe za kumpongeza dada yetu zilizofanyika katika viwanja vya Hostel ya Uhuru, Moshi. Hizi ndio picha.


Oyee!!!! Mnaziona pete lakini??


Hongera mke wangu.



Mkutano mfupi wa familia kujadili mustakabali wa digrii 2 zilizomo ndani ya familia. Baba mwenye nyumba ana digirii ya uhandisi. Familia imepata MASTERS!


CHAWASHENDO(Chama cha wazamiaji wa sherehe ndogondogo) iliwakilishwa na katibu mwenezi wao, Tangi J!!

Hongera sana dada Joy, Hongera sana Eng. Simon na hongera sana mimi kwa kuhudhuria!!

Dada Asumpta na kaka Timo!!

Mpendwa dada yetu Asumpta hatimaye aliuaga ukapera na kuingia kwenye maisha ya ndoa na kaka Timothy tarehe 21 Novemba mwaka huu. Arusi ilifungwa katika kanisa la Zion City Church Arusha na sherehe zilifanyika katika hoteli ya Arusha Corridor Spring.

Zifuatazo ni picha za tukio hilo kubwa...


Kwa pete hii, nakupokea wewe .....!!!

Huu ni mkataba wa kisheria kwa hiyo ni lazima kuwe na signature kwamba mmekubaliana!!

Signature!!
Mambo tayari! Kanyaga twende.
Pamoja na mashahidi wao, Mr&Mrs Mngodo.
Pooooziii la bibi arusi.


Mzee wa kiwese kaka Elisha pamoja na mkewe dada Miriam...


Na hadithi imeishia hapo.
Timothy na Asumpta ni waajiriwa wa Compassion International (CIT) makao makuu.
SBP inawatakia maisha mema ya ndoa, Mungu awatangulie mpate watoto muwe na amani siku zote.
NB: Kwenu kaka Andrew Msegu na kaka Raphael Lyela... inueni macho juu maana mavuno yapo tayari!!
Siwezi kuchukiwa kwa kusema ukweli!!

Monday, December 14, 2009

Usalama kwanza...


Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la matumizi ya pikipiki kama chombo cha usafiri hapa Tanzania. Ni kweli kwamba kimerahisisha sana usafiri lakini kwa kweli suala la usalama kwa watumiaji wa chombo hiki limekuwa haliwekewi mkazo.
Nilikutana na bwana huyu kwenye barabara ya Moshi Arusha alikuwa hajavaa helmet na alikuwa anapeta tu na tulikuwa tumepishana na askari wa usalama barabarani aliyekuwa busy kuyasimamisha malori na mabasi ya abiria nadhani pia ni kwa sababu huko kuna rushwa.
Kuna kila sababu ya watumiaji wa vyombo hivi vya usafiri kuwa makini na kujali usalama wao kabla maafa hayajawakuta.
Nimewasilisha!!

Saturday, December 12, 2009

Hii nayo kali...

Hayati Tassos Papadopoulos


WEZI wamefukua kaburi la aliyekuwa rais wa Cyprus, Tassos Papadopoulos na kuiba maiti yake usiku wa kuamkia jana, siku moja kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kifo chake.
Televisheni ya Cyprus, ambayo ililalazimika kukatiza vipindi vyake kwa muda, ilieleza jana kuwa wezi hao waliuiba mwili huo na kutokomea nao kusikojulikana.


Tassos Papadopoulos alifariki dunia Desemba 12, 2008 na alizikwa katika eneo lililo nje kidogo ya mji mkuu wa nchi hiyo, Nicosia. Mamlaka nchini humo zilieleza kuwa walikuta kaburi likiwa wazi na mwili wa rais huyo wa zamani ukiwa haupo.
Mmoja wa mashuhuda alieleza kuwa jeneza lililokuwa limeuhifadhi mwili huo lilikutwa likiwa wazi baada ya kufunguliwa. Polisi na wanafamilia wa rais huyo wa zamani walikuwa wamezagaa katika eneo hilo la tukio.


Msemaji wa polisi, Michalis Katsounotos alisema inaaminika kuwa mwili huo ulichukuliwa usiku wa kuamkia jana, lakini bado haijajua nia ya uhalifu huo.
"Kilichotokea ni kitendo cha kustaajabisha na kinatakiwa kulaaniwa. Ninaendelea kutafakari kuwa ni watu wenye mitizamo ya namna gani hadi wakaamua kufanya jambo kama hili... hili ni tukio linaloistua jamii nzima ya Cyprus na ulimwengu," alisema Andros Kyprianou, ambaye ni kiongozi mkuu wa chama tawala cha kikomunisti cha AKEL.


Kiongozi mkuu wa AKEL, Andros Kyprianou alieleza kushangazwa kwake na taarifa hizo ambazo zimetapakaa baada ya mwili wa kiongozi huyo kuibwa siku moja kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo chake. "Sijui ni watu wa aina gani wanaoweza kufanya uhalifu wa ajabu namna hii. Kwa mimi bado sina la kusema," alisema.


Papadopoulos alikuwa rais wa Cyprus kuanzia mwaka 2003 hadi Februari 2008, alipopoteza nafasi hiyo baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu na nafasi yake kuchukuliwa na Demetris Christofias. Miezi michache baadaye aligundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya mapafu na alifariki dunia Desemba 12, 2008 akiwa na umri wa miaka 74.

Tuesday, December 8, 2009

Kipaimara ya Light tar 28 Nov 2009

Light MsuyaBaada ya kutunukiwa heshima hii

Kipaimara ya Light

Light na Mpambe wake...


Wazazi wa Light wakiwa na Furaha kubwa ya sherehe hii

Wazazi wa Kiraho wa Light. Mr. Godson na Mkewe

UBUNIFU WA MITINDO

Kiatu aina ya Panya (Panya Shoes)
********

Kibua sandal (Fish Sandals)
********



Hivi sijui jina lake (Sema wewe)
*********

Wednesday, December 2, 2009

PRIORITIES

There is an old story of a swan and a crane.

A beautiful swan landed by the banks of the water in which a crane was wading about seeking snails. For a few moments the crane viewed the swan in stupid wonder and then inquired: "Where do you come from?" "I come from heaven!" replied the swan."And where is heaven?" asked the crane."Heaven!" said the swan, "Heaven! Have you never heard of heaven?" And the beautiful bird went on to describe the grandeur of the Eternal City. She told of streets of gold, and the gates and walls made of precious stones; of the river of life, pure as crystal, upon whose banks is the tree whose leaves shall be for the healing of the nations. In eloquent terms the swan sought to describe the hosts who live in the other world, but without arousing the slightest interest on the part of the crane. Finally the crane asked: "Are there any snails there?""Snails!" repeated the swan; "no! Of course there are not.""Then," said the crane, as it continued its search along the slimy banks of the pool, "you can have your heaven. I want snails!"

This fable has a deep truth underlying it. How many of us are daily sacrificing the riches of Gods grace for the snails of sin? One of the things I have learned is that my values determine how I set my priorities.

MATTHEW 6:23 But seek first the kingdom of God and His righteousness and all these things will be provided for you.
What are the first three things that have priority in your life? Is it your relationship with God, your job, your family, or your car or house? What is the thing that you are seeking first? Is it the kingdom of God or the snail’s of sin? Whatever you do, you need to ask yourself if it has eternal value or if it is perishable.

Someone decided to calculate how a typical life span of 70 years is spent in terms of priority and this is what he came up with:

Sleep................23 years...........32.9%
Work.................16 years...........22.8%
TV....................8 years...........11.4%
Eating................6 years............8.6%
Travel................6 years............8.6%
Leisure.............4.5 years............6.5%
Illness...............4 years............5.7%
Dressing..............2 years............2.8%
Religion............0.5 years............0.7%
Total................70 years............100%

This morning as you plan your day I hope your spiritual walk with God will take priority and not come in last. There are many things that will be screaming for your attention today. The mistake many of us make is that we do all we can do then we give God the remaining time if there is any.Reverse the order. Give God all the time you need with Him and then let the other things fit within the time you have leftSeek first the kingdom of God and His righteousness and all these things will be provided for you

PRACTICAL APPLICATION
Learn to begin with God in your time, finances family, work, and then use the rest for other things.

-Activate.

WATOTO

Nilipotembelea Dodoma niliwakuta watoto hawa Daniela(kushoto) na Daniel(kulia).... niliwapenda sana, wakawa marafiki zangu. ona walivyopendeza!!!!

Arusha

Very green as you can see!


Clouds on top of mount Meru. View from Peacehouse Secondary School, Kisongo.

Quiet place... Peacehouse Secondary school, Kisongo Arusha.


Cultural Heritage building.