Tafuta/Search This Blog

Wednesday, December 31, 2008

HAPPY NEW YEAR!!

Uongozi wa Shalom Broz Productions unapenda kuwatakia wapendwa wooote mnaotufuatilia, heri ya Mwaka Mpya wa 2009!
Tunamwomba Mungu awajalieni nyote Afya njema na mafanikio katika mwaka wa 2009.
Tafadhali endelea kufuatilia blogu yetu.


Ubarikiwe!

Monday, December 22, 2008

Ilikua Siku yao waliopendana.

Bibi na Bwana Arusi wadogo
Ezekiel na Emiliana. Du! Ezekiel ameng'ang'ania mkono si mchezo.


Baada ya chiaz tunyweshane. Ktk mapozi hawa wamefuzu. Mungu awabariki.


mambo ya maakuli.


unaweza kudhani ni Wingereza. Vijana wadogo wakiwa ndani ya suit.





Friday, December 19, 2008

Tangi J anameremeta!!


Tangi J akiwa na mpambe wake Joel.


Pole kwa kazi ngumu kaka!!

Cheers!! Kamau akiwa na mama na Baba!!








Baada ya miaka ya asignments, tests, mitihani, kukata kiu, GKB nk hatimaye kaka tangi J ambaye ni mmoja kati ya wamiliki wa Blogu hii, alibarikiwa kumaliza chuo Kikuu cha Mzumbe na kutunukiwa Shahada ya kwanza ya menejimenti ya Rasilimali watu!

Kwa msaada wa Mungu kijana aliweza kutoka mzumbe akiwa salama na wazazi waliamua kumwandalia sherehe ndogo ya kumshukuru Mungu hapo nyumbani kwao.


SBP tunamtakia mafanikio katika maisha yake ya huku mtaani!

Thursday, December 18, 2008

HEPI BESDEI UHU!!




stelingi mwenyewe katika vazi la kutokea!




Kupuliza mshumaa muhimu!!




Nani kama mama!!




Duh!



Asante besti!




baba mdogo!

Miaka mitatu sasa imetimia tangu kijana Gibson E. Msuya a.k.a UHU aanze libeneke la maisha humu duniani! Kijana huyu alizaliwa tarehe 9Dec2005.


Wazazi wake walimwandalia sherehe ya kumshukuru Mungu huko home kwao siku za karibuni.

Tuesday, December 16, 2008

Hata kama hukuja ktk Gradu, unaweza kujilia kakeki hapo.

Sio Kombolela, ni pozi la picha. Angel ktk pozi


Good Boy


Washamba pia walihudhuria Sherehe hiyo. Ok Huyu ni reporter wa Shalom Broz Productions

Angel..

Saturday, December 13, 2008

Tuesday, December 9, 2008


MWENYEWE MWENYEWE...

ANGEL MINJA

shem pia alikuwepo.

HAWA ALISKULI NAO CLASS MOJA



ILIKUWA SIKU YA CHEREKO CHEREKO KWA DADA YETU TAREHE 29 NOVEMBER 2008 KATIKA MAHAFALI, CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.(UDSM)




Sunday, December 7, 2008

Arusha mpaka Moro

Arusha kulikuwa na baridi sana na ukungu wakati ninaanza safari.



Upinde wa mvua kama unavyoonekana katika maeneo ya KIA junction na Maji ya Chai.


Between Same and Hedaru.

Mazinde Sisal plantation


Thame




Msamvu, Morogoro.




Nilipata safari fupi ya Morogoro siku ya alhamisi tar4 Dec kwa ajili ya Graduation ya bwana mdogo Josh kule Morogoro vijijini, Mzumbe. hayo ni baadhi ya mapicha niliyofanikiwa kuyapiga njiani!
Picha za Graduation zitawajia siku za karibuni kutoka katika ofisi ya kuu ya Dar.
Kaka Gee, Arusha.

Thursday, December 4, 2008

Friday, November 28, 2008

TABIBU??????


Nimekutana na hili tangazo ambalo lilipatikana huko Iringa kumhusu huyu tabibu anayedai kuwa anaweza kutibu mambo lukuki ya kimaisha hadi UTORO wa shule!!


Inasikitisha kwamba watu wengi wameingia kwenye hii mitego na kujikuta wakipeleka mali zao zote kwa "matabibu" wa namna hii!!


Jamani wapendwa, kuna tabibu mmoja tu anayeweza kuweka sawa mwili wako na Roho yako pia, ni YESU KRISTO!!


Habari ndio hiyo!!

Thursday, November 27, 2008

Dom kwa Vipita shoto.

kipita shoto pale.
Kingine.


Hata maeneo ya makazi ya watu utazikuta,..

Humu ndani pia vipo vipita shoto



Kaka Enson ambaye aliwakilisha Shalom Broz Prod huko Dodoma.





Shalom Broz Tulizuru Dodoma, Mh Vumbi Tupu


KWA KUKUHAKIKISHIA CHEKI MJENGO HUO. NILIPITA PALE NJE, DU NIPAZURI USIPIME.CCM BWANA WAMEJIJENGA SANA HAPA NCHINI, KAMA UNAVYOWEZA KUONA HAPA. WALA HAPA SIO MAKAO MAKUU. NILIKUA NAHUDHURIA SEMINA HII. NILIKUA BUSY SANA KAMA UNAVYOWEZA KUONA.


MAPUMZIKO HAYA. TULIKUA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD BIBLE COLLAGE

HAPA GETINI. HAWA NI WADAU WA SEMINA. DANIEL NA MWENZAKE.









Saturday, November 22, 2008

Kutoka ARUSHA na KIA

ARUSHA
Kikwangua anga kipya cha Arusha kama kinavyoonekana kutoka katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid Karume.


Mnara wa kumbukumbu ya azimio la Arusha

KIA

Kaka Gee mbele ya Boeing 737-700(BBJ) iliyotutembelea hivi karibuni.


Engeneer Conrad Andrew.








Friday, November 14, 2008

Hayawi hayawi sasa yamekuwa!!!!!!!!!!

sweet moment
At last!!
vilaji

vinywaji hai tebo!!




tabasamu la Sanga.


Baada ya kusubiri huu ubwabwa kwa muda mrefu hatimaye Bwana alifungua njia na Ubwabwa wa kaka Noel Sanga ukaliwa tarehe 8Nov. Sanga amemuoa binti na mtumishi wa Mungu anyeitwa Mercy.

Kama kawa sisi SBP tunawatakia maisha yenye furaha tele na inshaalah tunasubiri "wajomba"