Tafuta/Search This Blog

Friday, November 28, 2008

TABIBU??????


Nimekutana na hili tangazo ambalo lilipatikana huko Iringa kumhusu huyu tabibu anayedai kuwa anaweza kutibu mambo lukuki ya kimaisha hadi UTORO wa shule!!


Inasikitisha kwamba watu wengi wameingia kwenye hii mitego na kujikuta wakipeleka mali zao zote kwa "matabibu" wa namna hii!!


Jamani wapendwa, kuna tabibu mmoja tu anayeweza kuweka sawa mwili wako na Roho yako pia, ni YESU KRISTO!!


Habari ndio hiyo!!

1 comment:

Anonymous said...

such a beautiful place