Tafuta/Search This Blog

Thursday, November 13, 2008

Msiba Kibosho

Mpendwa wetu na kaka yetu Erasmus Joseph Mmasi amefiwa na mama yake mzazi na mazishi yameanyika leo mchana huko Kibosho.

Kwa niaba ya wamiliki woote wa SBP tunapenda kutoa salamu zetu za pole kwa kaka Erasmus pamoja na familia yote ya Mmasi kwa msiba huu mkubwa uliowapata.

Mungu wa amani awakumbatie.

No comments: