Tafuta/Search This Blog

Tuesday, June 30, 2009

Baridi


Jamani upande huu wa Tanzania una baridi ajabu. Jua linagoma kuchomoza hadi karibia saa 8 mchana mawingu ya ukweli na kaupepo kabaridi sana. picha hii imepigwa saa 4 asubuhi leo, KIA

Divine wa Robert na Mary!!

Nyumbani kwa Robert na Mary amezaliwa mtoto wa kike anyeitwa Divine.
Mtoto wa kwanza katika familia hii na ambaye alitabiriwa kwamba atazaliwa mtoto wa kike na kuombewa na watumishi wengi wa Mungu.

Binti Divine Robert

Mary na binti yake. yani ni kicheko tuu!!



Mama mtoto. Hili ni pozi la kusubiria Mtorii!!
Sisi SBP tunamtakia Divine maisha mema na ulinzi wa Mungu na pia tuna wapongeza wazazi wa Divine na tunamshukuru Mungu pamoja nao. Robert na Mary ni wadau wa karibu sana na SBP!

Monday, June 29, 2009

Casual Sunday at Calvary Temple Arusha.

Kila mwaka kanisa la Calvary Temple linakuwa na jumapili moja tunayokuja kanisani kikawaida kabisa na kuwa na ushirika pamoja na hasa lengo likiwa pia kuwakaribisha marafiki na ndugu kanisani.

Jumapili ya tar 28 Jun ndio ilikuwa siku hii katika mwaka huu wa 2009.

Wapendwa katika ibada ya kwanza, kulikuwa na kabaridi!


We praised and danced before him!!

Kaka Jimmy leading the praise.


Tukamwabudu Mungu!

Tukamwimbia Mungu nyimbo za Shukrani!!
Teens wakidance

Then, kulikuwa na wakati wa kueleza yale mambo Mungu amefanya katika maisha yetu.
Dada Esther akishuhudia vile Mungu alivyomponya.
Nothing is impossible to Him!
Ndugu Minja akishuhudia vile Mungu alivyomtoa katika madeni makubwa na sasa ni mfanyabiashara aliyefanikiwa sana!!


Watu wengi walikubali kuyatoa maisha yao kwa Yesu!
Nadhani watu kama 30 hivi walirespond to the alter call!!
Then muda wa kushare kikombe na mkate ukafika.


sio music tu, hata kwenye misosi tumo!!


YESU NDANI YANGU AKUPENDA WEWE!!

Kaka Gee na Mchungaji W Kimaro after the 2nd Service.

Na mwisho kabisa

*

*

*

*

*

*

*

*

*

*

*

Kaka Gee alikuwa amevaa number 73... kumbe kuna huyu mdada naye alivaa number 72!! Ilibidi kuiibia hii picha!!

Kwa wanaotaka Arusi za kifahari!

Jamani eti haya ndio magari ya kupanda kweney siku yako ya arusi, sijui yanalipiwa kiasi gani kwa siku lakini ni magari ya ukweli sana.

Hammer

Triple diff!! masifa tupu!!

kwa ndani ya moja ya magari!
Sina lakuongeza, kama unataka kutumia magari haya kwenye arusi yako... tuwasiliane. nadhani yako USA.
Nimeyakuta hapa

Wednesday, June 24, 2009

Serikali inahitaji MAOMBI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

MBUNGE wa Kilindi mkoani Tanga (CCM), Beatrice Shelukindo jana alielezea kwa kifupi matatizo ya serikali, akisema inakabiliwa na ugonjwa ambao uhahitaji "makanisa na misikiti kuiombea."
Kombora lake limekuja katika kipindi ambacho mawaziri na baraza lao wamekuwa wakituhumiwa kwa ubinafsi, roho mbaya na kubariki mikataba yenye harufu ya ufisadi wakati Wabunge wakizidi kuicharukia serikali tangu kusomwa kwa bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka 2009/10.
Jana mbunge huyo wa Kilindi alisema dawa ya ugonjwa huo wa serikali iko kwa Rais Jakaya Kikwete, makamu wake, Dk Ali Shein na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Shelukindo alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akichangia hotuba ya bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu iliyowasilishwa bungeni na Waziri Pinda juzi.
Shelukindo alisema: “Mheshimiwa Naibu Spika, sasa serikali ina ugonjwa. Ugonjwa huu ni mkubwa na dawa yake iko kwa rais, makamu wa rais na waziri mkuu pekee.”
Shelukindo alitaja ugonjwa huo kuwa ni kukosekana kwa utekelezaji sahihi wa mambo muhimu yenye manufaa kwa taifa kwa wakati sahihi, hali ambayo alisema inafanya mambo hayo kujirudia kila wakati.
“Ugonjwa huo ambao ni hatari ni kukosa utekelezaji sahihi kwa wakati sahihi. Hatuna hilo!” alisema.
“Baya zaidi ugonjwa huu umeingia mpaka makanisani na misikitini, mambo hayatekelezwi.”
Alitoa mfano wa baadhi ya hoja za wapinzani kujirudia akieleza kuwa ni sababu ya kukosa majibu ya moja kwa moja kutokana na ugonjwa huo.
"Kwa hali hiyo wabunge hawatanyamaza badala yake wataendelea kunyoosha vidole kwa kuwa kila siku mambo yanarudi yale yale; hayapatiwi majibu; hayatekelezwi kama hoja ya Dk. Slaa ya jana (juzi).
"Spika anamwambia asubiri, atanyamaza vipi wakati hajajibiwa? Hatuwezi kunyamaza tutaendelea kunyoosha vidole mpaka utekelezaji ufanyike kwa wakati sahihi,” alisema Shelukindo.
Alitetea hoja yake kwa kutoa mfano wa daktari aliyepewa nafasi ya kwenda kusoma nje ya nchi, lakini safari yake ilifutwa na katibu mkuu mpya wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
“Mwaka jana Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii iliteua daktari kwenda India. Alishaandaliwa kila kitu na watoto wake wamesimama shule wakisubiri safari hiyo. Anaingia katibu mkuu mwingine wa wizara, anasema daktari huyo hana sifa, ina maana yeye anajua zaidi ya wataalam aliowakuta?” alihoji.
“Cha ajabu anaenda kuteua mtu aliyestaafu, analazimisha mtu akubalike. Yaani ‘no control’ kila mtu anasema, ila ‘no control no maendeleo.”
Katika hatua nyingine Shelukindo jana alitoa shutuma nzito alizozielekeza kwa mmoja wa mawaziri, akidai kiongozi huyo na wengine kadhaa wamekuwa wakijipitisha maeneo mbalimbali na kugawa rushwa ya peremende kwa lengo la kushawishi wachaguliwe katika uchaguzi ujao.
Shelukindo alisema kuwa wakati serikali na Bunge vinahimiza utawala bora, wanaosimamia suala hilo wanaendelea kubomoa.
“Inashangaza kuona wanaosimamia utawala bora ndio wanaobomoa, Waziri Mkuu anajua ninachoongea, nilishamwona. Jamani tufuate taratibu."
"Nasema hivi kuwa wapo mawaziri tena wakubwa tu hawafuati taratibu, wapo watu wanajipitisha katika ofisi za mikoa na wilaya na kugawa pesa kama peremende,” alisema Shelukindo na kuongeza:
“Ndio wapo. Utakuta waziri tena mkubwa na gari ama lina namba za W au NW anapita katika mikoa au wilaya na kufanya hivyo, akijua kuwa hata ofisa wa Takukuru wilaya wanashindwa kumchukulia hatua. Jamani tufuate utaratibu, tukumbuke hatuna hati miliki ya uwaziri wala ubunge tupo hapa kwa ridhaa ya wananchi.”
Hoja hiyo ya Shelukindo ilishangiliwa na wabunge wengi na picha za televisheni zilimwonyesha mama huyo akionyesha alama ya kidole gumba kuelekea sehemu kadhaa ambazo kulikuwa na wabunge waliokuwa wakimpongeza kwa mbali, huku wale walio karibu wakimsogelea na kumpa mkono.
Naye mbunge wa Mbozi Mashariki (CCM), Godfrey Zambi, alielekeza moto huo kwa Waziri wa Miundombinu huku akihoji ukimya wa waziri huyo na serikali katika kuchukua hatua dhidi ya Wakala wa Mizigo Bandarini (Ticts) kwa zaidi ya mwaka mmoja licha ya kampuni hiyo kutotimiza ahadi.
“Mheshimiwa naibu spika, jingine ni suala ya Ticts. Kwa nini serikali haitoi majibu? Wengine wanasema ukizungumzia Ticts eti unaichukia. Naona hili limeingizwa katika siasa sasa. Mimi sina sababu ya kuichukia Ticts," alisema.
"Ukweli ni kwamba haijafanya iliyoyaahidi, kuna mambo mengi, si sawa, tunaomba serikali ichukue hatua.
"Hivi utawala gani bora huu, jambo moja mwaka mzima!!, Wananchi wataihofia serikali yao!”

-Mwananchi

Tuesday, June 23, 2009

Working with idiots can kill you!!

STOCKHOLM -- Idiots in the office are just as hazardous to your health as cigarettes, caffeine or greasy food, an eye-opening new study reveals. In fact, those dopes can kill you! Stress is one of the top causes of heart attacks -- and working with stupid people on a daily basis is one of the deadliest forms of stress, according to researchers at Sweden 's Lindbergh University Medical Center .

The author of the study, Dr. Dagmar Andersson, says her team studied 500 heart attack patients, and were puzzled to find 62 percent had relatively few of the physical risk factors commonly blamed for heart attacks. "Then we questioned them about lifestyle habits, and almost all of these low-risk patients told us they worked with people so stupid they can barely find their way from the parking lot to their office. And their heart attack came less than 12 hours after having a major confrontation with one of these oafs.

"One woman had to be rushed to the hospital after her assistant shredded important company tax documents instead of copying them. A man told us he collapsed right at his desk because the woman at the next cubicle kept asking him for correction fluid -- for her computer monitor.
"You can cut back on smoking or improve your diet," Dr. Andersson says, "but most people have very poor coping skills when it comes to stupidity -- they feel there's nothing they can do about it, so they just internalize their frustration until they finally explode."

Stupid co-workers can also double or triple someone's work load, she explains. "Many of our subjects feel sorry for the drooling idiots they work with, so they try to cover for them by fixing their mistakes. One poor woman spent a week rebuilding client records because a clerk put them all in the 'recycle bin' of her computer and then emptied it -- she thought it meant the records would be recycled and used again."

Swali la kujiuliza... UNAFANYA KAZI NA NANI?? Idiot au wewe ndio Idiot??

Sunday, June 21, 2009

Oscar na Pendo!!

Beautiful flower girls
Dada zao....
Oscar
Pendo
Ndio yeye???
Msajili wa ndoa, Kasisi (Rev.) W. Kimaro
Pokea pete hii......
Iwe ishara ya pendo langu kwako...
Alichokiunganisha Mungu...
Nawatangaza kwenu Mr & Mrs Masanja!!!!
Picha zinajieleza...wamependeza!!
*
*
*
*
*
*
*
*
*
*
Na mwisho kabisa, nimependa sana ukweli wa watoto, hawapendi uongo...kama wamechoka hata kama ni wapi wataitafuta tu nafasi ya kupumzika japo kidogo....

Tuesday, June 16, 2009

Mother of the Year

In a zoo in California , a mother tiger gave birth to a rare set of triplet tiger cubs. Unfortunately, due to complications in the pregnancy, the cubs were born prematurely and due to their tiny size, they died shortly after birth.

The mother tiger after recovering from the delivery, suddenly started to decline in health, although physically she was fine. The veterinarians felt that the loss of her litter had caused the tigress to fall into a depression. The doctors decided that if the tigress could surrogate another mother’s cubs, perhaps she would improve.

After checking with many other zoos across the country, the depressing news was that there were no tiger cubs of the right age to introduce to the mourning mother. The veter inarians decided to try something that had never been tried in a zoo environment. Sometimes a mother of one species will take on the care of a different species. The only orphans” that could be found quickly, were a litter of weaner pigs. The zoo keepers and vets wrapped the piglets in tiger skin and placed the babies around the mother tiger



Would they become cubs or pork chops?????????????
Take a look…….. you won’t believe your eyes!!!

Monday, June 15, 2009

JoJo Jose na Matilda Jojo

Jana kulikuwa na Tamasha la uzinduzi na utambulishaji wa album 3 za familia ya Jojo na Matilda. Watumishi hawa ambao walioana mwezi wa 4 mwaka huu wakiwa na huduma binafsi, waliamua kuziunganisha huduma zao na kutoka pamoja wakiwa pamoja kama mume na mke na pia kama watumishi katika huduma moja ya uimbaji.
Matilda alikuwa anazindua DVD ya collection ya album zake na Jojo Alikuwa anawatambulisha wanaArusha album yake ya ULIUMBWA UTAWALE na mpya ya MUNGU USIYESHINDWA .


Matilda

Jojo Jose Mwakajila.

Wachungaji wakiziweka wakfu album hizo.

Kikundi cha waliowasindikiza Matilda na Jojo.

Solomon Mkubwa akimsifu Bwana

Papaa Felix akimsifu Bwana kwa sebene la ukweli.
Jimmy Kimu2o doing his thing!


Mzee wa 25 ambaye ndio alikuwa mshehereshaji akiwa Serious


Kaka Gee pia alikuwepo pembeni ya Jimmy.





Wapiga picha walikuwa weeengi na wengine walikuwa wanatumia simu zisizokuwa na camera lakini yoote ni kwa utukufu wa Bwana.




Sehemu ya umati mkubwa waliohudhuria.




Baada ya concert,Jojo akipongezwa na mama Kinabo wa Calvary Temple



Kaka Gee na Mtumishi Jojo.
Ni hayo tu!!