Tafuta/Search This Blog

Tuesday, December 25, 2012

Merry Christmas from SBP

Christmas Sun setting with a beautiful view of lake Victoria in Mwanza. The shots were taken in the interval of a minute. Hope you will love them. 



These are our Christmas gift to you. You can use them any how. May Jesus bless you all.

Great love from us.

-SBP.

Tuesday, November 27, 2012

Sasa ni Andrew Msegu na Elizabeth Ngajilo

Baada ya kusubiri kwa muda mrefu sana, Hatimaye kijana wetu Andrew Msegu a.k.a Ebenezer aliuaga ukapera kwa kumuoa binti kutoka uwanji Elizabeth Ngajilo. Arusi ilifungwa Calvary Temple na sherehe ya kuwapongeza ilifanyika katika mjengo wa Lush Garden jijini Arusha. Hizi ni baadhi ya picha zilizopatikana katika tukio hilo.

Mr and Mrs Msegu. Fullu kutabasamu!!


Mr and mrs Msegu walisindikizwa na Mr&Mrs Lwendo wa Mwanza.

Pozi la Kimajukumu zaidi.

Mtu na mtu wake.

GeeLove na Tildalove

Mmmmh mabusu.


Mchungaji Msegu akiwa na wanawe.



Kwaitozz

Bwana arusi mtarajiwa Jimmy Kimutuo akiwa anamsindikiza mwenzake kwa wimbo pamoja na Voice Of Triumph!

VOT, wako njema sana hawa.

bibi arusi na mwenziwe kwenye Kwaito.


Sisi SBP tunawatakia maisha mema ya ndoa. Mbarikiwe sana.

Monday, November 19, 2012

Zawadi kutoka mkoa wa KAGERA!

Nimetumiwa zawadi kutoka Kagera, nimeona ni vyema na wewe ukaziona.

Kwanza  ni hii kitu. Sikuelewa ndani kuna nini maana hii packaging ilikuwa baab kubwa!
Nikaweka chini na kufungua taratiibu na mara... 

Ndani kulikuwa na mayai lukuki ya kuku wa kienyeji!! Huu ujuzi wa asili wa kufunga sha vitu niliupenda sana. Hapa wametumia majani/ nyazi na juu wamefungasha na jani la mgomba lililo kavu. Mayai yalisafiri kwa usalama sana na hakuna hata moja lililopasuka!!

Alafu na Senene! Mambo ya huko. na sasa ivi ndio msimu wake!!!

Nawashukuru sana ndugu zangu na marafiki zangu Wanyambo wa Karagwe mkoani Kagera, na hasa dada Regina Kajara na familia yake.

Wednesday, November 7, 2012

MVUA YA DAKIKA 24 ILIVYOLITENDA JIJI LA MWANZA

Mti umeng'olewa

Bango kubwa la VODACOM limeangukia barabarani, kuna magari yaliangukiwa

Bendera haikunusurika, nyaya za umeme pia ziliathirika.

Sokoni pasiansi vibanda viliondishwa!

Kuanza kwa FASTJET kutaleta neema kwetu...!






 
fastjet Plc
("fastjet" or the “Company”)

fastjet Ready to Launch with New Brand
and Responds to Newspaper Report

fastjet, Africa’s first pan African low cost carrier, today unveils its new brand and will begin selling tickets next week ahead of the airline’s first flight this month.

The new branding, which replaces the existing placeholder logo, features the well-known African Grey Parrot which was carefully selected following in-depth market research in Africa and reflects the Company’s mission, values and target audience.

Commenting on the new branding, fastjet Chief Executive Ed Winter said:

“The African Grey is renowned for its intelligence and is therefore a perfect personification of fastjet’s motto; smart travel.  We are delighted to be unveiling this new branding today, which better reflects our individual corporate identity and speaks to our key audiences.

“We hope that our friendly new mascot and logo will soon become universally recognised as symbols of reliability, efficiency and safety.”

The airline now has three Airbus A319s as part of its fleet. All three aircraft are in the process of being painted with the fastjet livery before being dispatched to Tanzania ready for the launch.

The airline’s new web site www.fastjet.com will launch next week providing information on routes and fare schedules. The site will soon allow tickets to be bought using credit/debit cards as well as mobile phone technology that debits the users phone accounts. Additionally, tickets will be sold through travel agents and fastjet’s own sales desk, call centre and offices throughout East Africa. Tickets will be available from as low as $20 one-way excluding taxes and charges.
fastjet Chairman David Lenigas added:

“We are excited that the launch is now imminent and that fastjet will be turning from a concept into a reality.
“A recent story emanating from East Africa and picked up by the Daily Telegraph contained material inaccuracies regarding disputes with two Fly540 (Kenya) suppliers. Whilst we are not able to comment directly on these specific cases, we can confirm that the amounts in dispute are not deemed material, and that we will vigorously defend the company’s interests as these cases progress. Our shareholders would expect us only to settle invoices that are accurate and appropriate.
“The launch of fastjet has generated enormous interest in East Africa and we are delighted with the strong partnerships being forged with suppliers and Governments across the region.
“Our announced launch and growth plans remain firmly on track.”

Tuesday, October 30, 2012

BARNABAS MINJA "BARII" NA DELPHINA SASA NI MWILI MMOJA

vijana wakijimwayamwaya...


Barii kwa aibu....!

Mr & Mrs Minja in 3D!
Hatimaye kijana wetu sasa amekuwa mkubwa na amempata mwenzake wa kuspend maisha! Arusi ilifungwa huko Moshi Tanzania na kushuhudiwa na wazazi pamoja na marafiki lakini pia kutakuwa na sherehe ya kumkaribisha "mwali" katika jiji la Mwanza siku chache zijazo.

SBP tunawatakia vijana wetu maisha mema na marefu ya ndoa.

**Picha kwa hisani ya kaka Stanley Joseph.

Saturday, October 20, 2012

Mazishi ya babu yetu mzee Daudi Lwendo, terehe 13 October 2012.

Babu yetu mzee Daudi Lwendo alifariki  usiku wa tarehe 10 oktoba 2012 nyumbani wake Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya baada ya kuugua. alifariki akiwa ameishi miaka 98! Tulimshukuru Mungu kwa maisha yake na kupata nafasi ya kusherehekea maisha yake na kumlaza kaburini siku ya jumamosi tarehe 13 Oktoba hukohuko Igawa.
Hizi ni baadhi ya picha za tukio hilo.

Kwa mara ya mwisho tunamuaga.


Mavumbini ulitoka na mavumbini utarudi.


Bibi Judith akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu mume wake.

Mama yetu akiweka shada la maua kwenye kaburi la mkwe wake.

Hapa ndipo tulipoulaza mwili wa babu yetu.



Ndugu katika kaburi 

Old friends! kaka Gee na rafiki yake ambaye pia ni babu yake mzee Mazengo.
Heri wafu wafao katika Bwana.
Tunaendelea kumshukuru Mungu kwa maisha ya Babu yetu!

Thursday, October 18, 2012

Tanzania ninayoijua mimi ni nzuri!!

Mbarali karibu na makao makuu ya wilaya ya mbarali. Kwa mbali inaonekana mwanzo ya milima ya Udzungwa.

Mto Mbarali, maeneo ya Igawa.

Shamba la miti la Sao Hill maeneo ya Mafinga.
Maeneo ya mwanzo wa mlima Kitonga, Iringa.
Mimi bado ninaamini hii ni nchi nzuri sana. Je unaamini pamoja nami?? Please do.

Thursday, September 27, 2012

Friday, September 14, 2012

Emmanuel Na Anna wameremeta

 Nakupena Anna
 Nakupenda Emmanuel
 Pokea pete hii
 Wapigaji kbaoooooooo!
 Libeneke la kukata kwa chain saw

Wazamiaji hawakosagi