Tafuta/Search This Blog

Wednesday, November 7, 2012

MVUA YA DAKIKA 24 ILIVYOLITENDA JIJI LA MWANZA

Mti umeng'olewa

Bango kubwa la VODACOM limeangukia barabarani, kuna magari yaliangukiwa

Bendera haikunusurika, nyaya za umeme pia ziliathirika.

Sokoni pasiansi vibanda viliondishwa!

No comments: