Tafuta/Search This Blog

Sunday, May 31, 2009

Rwegoshora...

Hii nimeikuta kwa dada Subi...

After studying law, Rwegoshora decided to move back to his home town of Bukoba to open his own practice.
The first day, he saw a man coming up the sidewalk. He decided to make a big impression on this new client when he arrived. As the TTCL man came to the door, Rwegoshora picked up the TTCL phone. He motioned the man in, all while talking. "No. Absolutely no. You tell those clowns in New York that I won't settle this case for less than one million. Yes. The Appeals Court has agreed to hear that case next week. I'll be handling the primary argument and the other members of my team will provide support. Okay. Tell the State Prosecutor that I'll meet with him next week to discuss the details." This sort of thing went on for almost five minutes.

All the while the man sat patiently as Rwegoshora rattled off instructions. Finally, Rwegoshora put down the phone and turned to the man. "I'm sorry for the delay, but as you can see, I'm very busy. What can I do for you sir?" The TTCL tech replied, "I'm here to connect your telephone line".

Saturday, May 30, 2009

Monday, May 25, 2009

Hapa Tanzania Kiinglish in JANGA la Kitaifa. Kenya Kiswahili ni Janga.

NO Smoking in Swahili

After public smoking was banned in Kenya , each town clerk was assigned the
duty of posting notices in Kiswahili to that effect. See how different councils
posted their notice: Other councils are still working on theirs........

The Mombasa Town Clerk
wrote:  Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana
wakikiuka amri  hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.

The Kiambu Town Clerk:
Wanyuanji wa thigara washunge sana . Unyuanji wa thigara bere ya watu hata
huko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.

The Machakos Town Clerk:
Wavulutanji tusikala wasunge sana . Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku na
kanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana .

The Kisumu Town Clerk :
Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa,
ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!

Wajir Town Clerk:
Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisi
tagaamata mutu b hahala yaghe kiburuta.

Kericho Town Clerk:
Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa. Haguna!! Charipu
wee taona!!!

Kisii and Nyamira Town Clerk
Akuna kukunywa sigara hapa ndani na inche kuansia reo. Mutakaobatikana
mutakura  kiboko saa hiyo hiyo. Wote munaombua kujiatari sana.

Other Councils are still working on theirs......!!!

Thursday, May 21, 2009

Get well soon Mwakyembe!!


Sisi Shalom Broz tunamtakia Dr H. Mwakyembe afya njema na uponyaji kutoka juu. Tunaamini kwamba uponyaji mkamilifu ni ule utokao kwa Bwana Yesu.


We are praying for you brother! Dont worry, if Jesus is for us, no body can be against us!!

Wednesday, May 20, 2009

Dar es Salaam


Jiji la Lukuvi!!

Kwa wanaopenda siasa tuu!!

Hekaheka Busanda
Helikopta ya Mbowe yaivuruga CCM
na Kulwa Karedia, Busanda

MWENENDO wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Busanda, unazidi kuonyesha kila dalili za kuzidiwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuendelea kwa matukio ya viongozi wake waandamizi kuzomewa na kukimbiwa katika mikutano yao ya kampeni.
Sambamba na kuendelea kwa matukio hayo, kuwasili kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe jana na kuanza kampeni za lala salama dhidi ya chama chake, kumezidisha tambo na mikikimikiki ya kampeni hizo kwa chama hicho.

Mbowe ambaye aliwasili katika anga la Busanda kwa kutumia helikopta majira ya saa nane mchana, alifanya mkutano wake wa kwanza katika Kijiji cha Nyamigota ambako aliwataka wapiga kura kutomchagua mgombea wa CCM kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kutangaza janga la kitaifa dhidi ya Watanzania.

“Ndugu zangu wana Busanda, naomba niwaeleze kuwa kuichagua CCM ni sawa na kutangaza janga la kitaifa kwani kwa kipindi cha miaka 48 kilichokaa madarakani, kimeshindwa kupambana na umasikini, badala yake kimekuwa kikiuzalisha kila siku,” alisema Mbowe huku akishangiliwa na umati mkubwa wa wakazi wa eneo hilo.

Mbowe aliilaumu CCM kwa kumteua Makamu Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Tanzania Bara, John Malecela, anayefahamika zaidi kwa jina la Tingatinga kuwa, ni kumdhalilisha kwa sababu kwa umri wake na wadhifa wake hapaswi kufanya kazi ya kugawa chumvi na magodoro kwa wapiga kura ambao wamekwishaonyesha nia ya kutokichagua chama anachokitetea.
“Wabunge wa CCM siku zote wamekuwa mzigo, wameshindwa kusoma alama za nyakati, sasa masikini wangu wameamua kumtoa mzee Malecela kwa ajili ya kukiokoa chama chao… tunasema wamechelewa kwa hili.

“CHADEMA hivi sasa ina kazi moja tu ya kuhakikisha inarudisha heshima ya jimbo hili kwa vile ina uhakika wa kushinda katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo.
“Nawaambia huyo Malecela waliyemleta hapa atavuna alichopanda na atabeba gunia lake la aibu… kwanini asitumie nyakati hizi kukaa nyumbani au kuwa mshauri wa chama badala ya kugeuka kuwa kinara wa rushwa?” alihoji Mbowe.

Alisema anachoamini ni kwamba, Malecela kwa uwezo alionao anastahili kuwa mshauri wa vijana wa chama hicho na kuwaachia vijana hao kazi ya kupambana na wanamapinduzi wa kweli wanaotaka kuing’oa CCM madarakani.

“Nilitegemea Malecela angekuwa kioo cha kukemea rushwa, ufisadi na matendo maovu ndani ya CCM, lakini sasa wameamua kumtupa vijijini kugawa magodoro… namheshimu sana kama mzee wetu, lakini sina budi kumwambia ukweli kuwa, wakati wa kupumzika umefika,” alisema.
Baadaye Mbowe aliruka kwa helikopta hadi Kijiji cha Lwamgasa, ambako baada ya kufika ilionekana dhahiri kubadilika kwa upepo wa kisiasa katika kijiji hicho ambacho wakazi wake wengi ni wachimbaji wadogo wadogo wa madini.

Kabla ya kuwasili helikopita hiyo, mamia ya wakazi wa eneo hilo walikuwa wamejitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano wa kampeni za Chama cha Wananchi (CUF), lakini baada ya kutua, mkutano huo ulishindwa kuendelea baada ya waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya kusikiliza sera za chama hicho kukimbilia katika mkutano wa CHADEMA.

Akiwahutubia wakazi wa eneo hilo, aliwataka kufanya mageuzi bila ya kushinikizwa na viongozi wa CCM.

Mbowe ambaye aliwasili kijijini hapo saa mbili baada ya mgombea wa CCM, Lolencia Bukwimba kumaliza kuhutubia mkutano wa kampeni, aliwasihi wananchi kutobabaishwa na vitendo vya CCM vya kupeleka nguzo za umeme kijijini hapo, kwani hiyo ni kutaka kufanya ujanja wa kuchaguliwa.

“Msibabaishwe na CCM kuwaletea nguzo za umeme hapa, huu ni uongo tu, wanataka kuwadanganya ili muwapigie kura katika uchaguzi ujao… mbona miaka yote hawakuja, leo hii ndiyo wanakuja hawa wakataeni,” alisema Mbowe.

Baadaye alikwenda katika Kijiji cha Kaseme ambako aliwataka wananchi kutobabaishwa na propaganda za CCM za kuletewa maisha bora.

Kuwasili kwa helikopita katika jimbo hili jana, kulisababisha hata baadhi ya viongozi wa CCM waliokuwa katika Hoteli ya Zacharia Lodge kuungana na wana CHADEMA kuipokea.
Kitendo hicho kilifanya viongozi hao kushangiliwa na umati mkubwa wa wananchi waliokuwa wakiimba ‘Kamanda wa Pori ametua kuondoka na mbunge’.

Aidha, kuwasili kwa helikopta hiyo inayotumiwa na Mbowe katika kampeni hizo, kulisababisha kusimama kwa shughuli nyingi za kijamii na barabara nyingi kufungwa kutokana na wingi wa watu waliokuwa wakifika kumuona mwenyekiti huyo wa CHADEMA.

Katika tukio ambalo halikutarajiwa na wengi, licha ya helikopita hiyo kutua karibu na Kituo cha Polisi Katoro na kufunga barabara, polisi hawakuchukua hatua yoyote ya kufukuza wananchi waliokuwa wakiishangilia CHADEMA baada ya Mbowe kushuka katika helikopta hiyo.
Katika hatua nyingine, hali ya mambo ndani ya CUF imeonekana kuwa mbaya baada ya uongozi wa chama hicho kuwafukuza wafanyakazi wake wawili kwa madai kuwa wanavujisha siri za chama hicho.
Tukio hilo limetokea jana ambapo iliwafukuza Haroun Mikole ambaye ni fundi mitambo na dereva Mazoe Chidide kwa maadai kuwa walikutwa wakiteta jambo na viongozi wa CHADEMA usiku wa kumkia jana.
Wakati hali ikiwa hivyo kwa vyama vya CHADEMA na CUF, kwa upande wa CCM, jana ilikuwa zamu ya kada wake kijana ambaye pia ni Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kukumbana na hasira za wapiga kura wa Busanda.
Kwa mara ya kwanza tangu alipowasili katika kampeni hizo kukiongezea nguvu chama chake, jana Ngeleja alijikuta katika wakati mgumu baada ya kukimbiwa na wachimbaji wadogo wadogo katika mkutano wa ndani wa chama hicho uliokuwa ukifanyika katika mgodi wa dhahabu wa Lwamgasa.

Hatua ya Ngeleja kukimbiwa na wachimbaji hao ilitokana na kauli yake kuwa, kama watashindwa kuichagua CCM watanyag’anywa leseni na kufutiwa usajili wa vitalu vyao.
Katika mkutano huo ambao ulifanyika katika Shule ya Msingi Mwenge, Ngeleja alisema CCM ndiyo yenye wezo wa kuchukua hatua zozote zinazostahili kuwaendeleza wachimbaji, wakiwamo wa migodi mikubwa kama vile Mererani, North Mara na Geita Gold Mine.

“Napenda kuwaambia ndugu zangu, leo nimewaita hapa kutaka kuwaambia kwamba, tuna kazi moja tu ya kuhakikisha mnachagua CCM katika uchaguzi ujao, sasa nawaambia kama hamtafanya hivyo, tutahakikisha tunawanyang’anya leseni kwani CCM ndiyo yenye serikali,” alisema Ngeleja.

Alisema wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa na tabia ya kupinga sera za CCM eti kwa madai kuwa imekuwa ikiwakandamiza, jambo ambalo halina ukweli wowote.
Katika hali inayoonekana kuwa vitisho, Ngeleja alisema kama CCM itashindwa kwenye uchaguzi huo, wachimbaji hao watashukiwa kwa nguvu zote na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kuona kama kweli wanalipa kodi ya serikali.

Moja ya mkakati ambao tumeandaa ni kwamba kama CCM haitashinda, TRA itakuja hapa kwa ajili ya kuhakiki kama kweli mnalipa kodi ya mapato, ikiwa ni kinyume chake mtashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ya serikali,” alisema Ngeleja.

Kauli hiyo ilionekana kuwaudhi wachimbaji hao ambao walianza kuondoka mmoja mmoja ndani ya ukumbi na kumwacha Ngeleja na viongozi wa CCM aliokuwa ameambatana nao kwenye kikao hicho.

Baadhi ya wachimbaji hao waliiambia Tanzania Daima Jumatano kuwa, huo ni unyanyasaji mkubwa na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali.
Mmoja wa wachimbaji hao, Swedi Mussa alisema kama Waziri Ngeleja ataendelea na kauli hiyo, anaweza kusababisha mgawanyiko mkubwa ndani ya jamii inayozunguka machimbo na Watanzania ambao ndio wanayategemea kuendesha maisha yao ya kila siku.

“Tumeshangazwa na kauli ya Ngeleja na ndiyo maana tuliamua kumkimbia ndani ya ukumbi, kwa sababu inaonekana wazi kwamba sasa anataka kutufanya Watanzania ni wajinga wa kutupwa, kwanini kaja wakati wa kampeni kututisha hivi?” alihoji Mussa.

Aliongeza kuwa, hatua ya kuambiwa kwamba watanyang’anywa leseni inaonyesha wazi kwamba CCM imedhamiria kuongeza umasikini katika jamii tofauti na sera zake kwamba inaleta maisha bora kwa kila Mtanzania.

-kutoka Tanzania Daima

Tuesday, May 19, 2009

Africa VS ulaya


Sisi waAfrica bwana huwa hatuna mawazo ya kujipa shida, maisha yanakwenda kilaini. Tunavunja sheria kilaini, tunakufa kilaini, tunatafuta chakula kilaini, yaani kila kitu tunachukulia poa!!

Wazungu wameendelea, wao wanafanya kwa ujuzu zaidi hata kuiba. Hebu ona hawa badala ya kulipa kiingilio, wao wanapanda juu ya nyumba ndefu jirani ya uwanja....WIZI MTUPU, lakini wa kisasa!!


Is there life after death??



Hiyo sehemu sio ya kusogelea kabisa!!

Be patient!

A train was filled with tired people. Most of them had spent the day traveling through the hot dusty plains and at last evening had come and they all tried to settle down to a sound sleep.

However, at one end of the car a man was holding a tiny baby and as night came on the baby became restless and cried more and more. Unable to take it any longer, a big brawny man spoke for the rest of the group. "Why don't you take that baby to its mother?" There was a moment's pause and then came the reply. "I'm sorry. I'm doing' my best. The baby's mother is in her casket in the baggage car ahead." Again there was an awful silence for a moment. Then the big man who asked the cruel question was out of his seat and moved toward the man with the motherless child. He apologized for his impatience and unkind remark. He took the tiny baby in his own arms and told the tired father to get some sleep. Then in loving patience he cared for the little child all through the night...

Kuna kitu kikubwa sana katika hii story cha kujifunza. Mara nyingi huwa tuna complain na kusema vibaya bila kuuliza kwanza sababu ya vitu. Mimi hii imenitouch sana, hope na wewe imekutouch.

Wednesday, May 6, 2009

Raila Abatizwa!!

Ndani ya Maji, waziri mkuu wa Kenya akiwa katika process za ubatizo katika kanisa la National Repitance and Holiness Ministries.
Inasemekana na rais wa nchi hiyo yuko mbioni kutimiza haki zote!!

Habari na picha kutoka Full Shangwe!!

Acha kabisa keundesha gari karibu na magari yaliyobebe makontena

Mwe!mbaya eeee! Acha kabisaaaa!

Tuesday, May 5, 2009

UPENDO WA KWELI...

Here his wife is injured and the condition is fatal.She was hit by a car as she swooped low across the road.

Here he brought her food and attended to her with love and compassion.

He brought her food again but was shocked to find her dead.He tried to move her....a rarely-seen effort for swallows!


Aware that his sweetheart is dead and will never come back to him again, He cries with adoring love.



He stood beside her, saddened of her death.


Finally aware that she would never return to him, he Stood beside her body with sadness and sorrow.
Millions of people cried after watching this picture inAmerica and Europe and even other countries. It is said that thePhotographer sold these pictures for a nominal fee to theMost famous newspaper in France . All copies of that Newspaper were sold out on the day these pictures were published. And many people think animals don't have a brain or feelings?????
Think again....

SWINE FLU!

Nasikia eti sisi tunaogopa mafua ya nguruwe!!
PIcha kutoka kwa dada Firiana.

BONGO "DAR ES SALAAM"

Kwa mbali ni majengo pacha ya BOT, Kivukoni(Feri) kwa upande wa kulia, nk.

SIKU YA MOSES NA JOYCE. 02 May 2009 KTK NDOA TAKATIFU

MOSES & WIFE KTK POZI MARA TU BAADA YA KUKABIDHIWA


MAANA HASA YA KUMBEBA MKE WAKO NI KUTAKA KUUTHIBITISHIA UMMA KUWA UNA UWEZO WA KUMTUNZA.



FURAHA YA NDANI MARA NYINGINE HAIONEKANI KWA NJE.


POKEA PETE HII, IWE ISHARA YA UAMINIFU WANGU KWAKO. NAKUPENDA MOSES.



KARIBUNI UKUMBINI MABIBI NA MABWANA

Monday, May 4, 2009

Awe! Mt Kilimanjaro may 'explode' in November

**East African military forces are being prepared to contain the situation


Mount Kilimanjaro is likely to explode in volcanic outburst next November. Soldiers serving with military forces of Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda and Burundi are warming up to combat the disaster.

Kilimanjaro which is Africa’s highest peak and the world’s second highest mountain has never exploded before. The predicted eruption that may occur in six-months from now, is set to affect millions of people living around the gigantic feature. It will be a historical happening … and major disaster!

Lives and properties will be lost due to explosion, experts have warned that areas such as Marangu, Machame, Himo and Moshi on the other hand will possibly disappear for good.

Mt. Kilimanjaro is the highest point on African continent reaching 5,895 meters (19,340 feet) above sea level, tall enough to maintain a permanent snow cap despite being just 330 kilometers (210 miles) south of the equator.


It is also the tallest free-standing mountain on the Earth’s land surface, rising about 4,600 meters (15,000 feet) above the surrounding plain. Kilimanjaro is a triple volcano (has three peaks) that geologists believe could have erupted perhaps more than 100,000 years ago. The peaks however had been exuding volcanic gases for years.

Now come November 2009 and the mighty Kilimanjaro is expected to explode in thunderous torrents spew out boiling rivers of molten rocks, thick gases, volcanic ash and solid rocks all around the vicinity at a radius of over 200 kilometers.

Massive rivers tumultuous outpouring of red hot lava gushing down its slopes burning practically everything in the area including forests, plants and thousands of households. The fear is the explosion may annihilate local townships such as Marangu, Himo, Njia-panda, Mkuu-Rombo and even Moshi Municipality itself.

Other towns on the Kenyan’ side of the border may also be in danger: Illassit, Oloitokitok, Entarara, Rombo and Kimana areas could end up buried under tons of magma-turned lava.

The predicted Kilimanjaro eruption is just a fictional setting, an orchestrated drama to be part of the five-state army Military drill to mark the 10th anniversary of the revived East African Community.


A joint military rescue operations made up of armies from Uganda, Rwanda, Burundi, Kenya and Host Tanzania will be expected to evacuate people living around Mt. Kilimanjaro as disaster strikes.

Just as well, because in reality it may take five military forces to accomplish the feat the mostly remote thick-forested area is inhabited by millions and the roads are not exactly at their best.

Arusha will be the base from which the army teams are to operate from. Arusha apparently will also be the host of the East African Community’s 10th Anniversary ceremonies set to be the biggest events this year.


Dr. John Eudes Ruhangisa, a senior official with the Arusha based EAC secretariat said the event would be marked here on the 20th of November instead of the official date of November 30 because at that time the EA presidents will be attending the Commonwealth Head of States meeting in the Caribbean Islands.

-ARUSHA TIMES