Tafuta/Search This Blog

Showing posts with label by Shalom Broz Productions (SBP). Show all posts
Showing posts with label by Shalom Broz Productions (SBP). Show all posts

Sunday, August 7, 2016

Ni HUMPREY na LEAH!!

 Msafara kuingia kanisani.

 Mkao wa matumaini!

 



Hatimaye Humphrey ni mume wa Leah. Ndoa imefungwa mchana huu hapa Mwanza na sherehe itakuwa leo jioni hapahapa Mwanza.

- Picha kwa Hisani ya Warren Charles.

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa na kumalizikia kwa amani kubwa sana.

Humphrey sasa ni mume wa Leah na Leah ni mke wa Humprey.

SBP inawatakiwa maisha mema sana ya kushesha kitrilionea!! 



--Picha zaidi kwa hisani ya Matilda.





Tuesday, August 2, 2016

IMF: Uchumi wa Tanzania waongoza Afrika Mashariki

Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi wake mwaka huu katika kanda ya Afrika Mashariki na kati.
Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la fedha la kimataifa - IMF.
Katika ripoti yake iliyotolewa hii leo Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango cha juu cha ukuaji wa uchumi wake wa asilimia 6.9% mwaka wa 2016.
Kasi hiyo ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania ni ya pili tu nyuma ya Ivory Coast baina ya mataifa ya Kusini mwa jangwa la Sahara .
Ivory Coast inatarajiwa kukuwa kwa kasi ya asilimia 8.5%.
Katika kanda ya Afrika Mashariki ,uchumi wa Kenya ndio wa pili kwa kasi ya ukuaji kwa asilimia 6%.
IMF hata hivyo inasema kuwa kasi ya ukuaji wa uchumi kusini mwa jangwa la Sahara unatarajiwa kupungua kwa mwaka wa pili mfululizo kutokana na kudorora kwa viwango vya uzalishaji na hivyo uwekezaji.
Kwa mujibu wa shirika la fedha la kimataifa - IMF, eneo hilo linakadiria kushuka kwa ukuwaji wa uchumi kwa asilimia 3 mwaka huu.
Kiwango hicho ni cha chini kabisa kuwahi kushuhudiwa katika miaka 15.
Mataifa yanayotegemea mapato yanayotokana na mafuta ndiyo yalioathirika zaidi kama vile Nigeria na Angola.
Aidha Zambia pia imeathirika vibaya kutokana na ukosefu wa soko la kimataifa la shaba yake.
Ripoti hiyo inaitaja Afrika Kusini kama moja ya mataifa ambayo kiwango chake cha ukuaji kimedorora kwa kiasi kikubwa mno.
Katika orodha ya mataifa yanayotarajiwa kuwa na kiwango cha juu cha ukuaji Kusini mwa jangwa la sahara Ivory Coast ndio inayoongoza.
Orodha ya mataifa ya kanda ya Kusini mwa Jangwa la Sahara na viwango vya kasi ya ukuaji wa uchumi 2016.
  1. Ivory Coast 8.5%
  2. Tanzania 6.9%
  3. Senegal 6.6%
  4. Kenya 6%
  5. Zambia 3.4%
  6. Nigeria 2.3%
  7. Afrika Kusini 0.6%  


- BBC
THE BEST IS YET TO COME!!

Wednesday, July 20, 2016

Bwiru Girls Secondary School.


Kati ya shule za zamani sana hapa Tanzania lakini pia yenye mandhari ya kihalisi (Natural environment) pemebeni ya ziwa Victoria.

Nilikuwa sijawahi kufika hapa lakni nilipofika hivi karibuni nikaona hapa ni mahali pazuri sana, patulivu mno na mandhari ya kuvutia sana.

Haya mjikumbushe wale mliopitia hapa!



 






Bonus!

Hii nimeipenda sana.
Sun rays through trees at Bwiru Girls Sec. School.




Sunday, July 17, 2016

Happy Birthday to My boys!

17th July is a very special day to us as we celebrate God's gifts to our lives. God has given us Gratian and Godlove Jr in 2011 and 2014 respectively.
So, Grats is turning 5 and GJ is turning 2. God has been so good to these boys and we are so grateful for his divine protection and love.

Please share our joy of parenting this two mighty men!
























Monday, July 11, 2016

Mwanza City Council, can you do something here??

Kati ya sehemu ambayo nadhani Jiji letu la Mwanza natamani sana lingeiangalia ni eneo la kuanzia daraja na Mto Mirongo hadi Nela ambalo mimi naona lingefaa sana kwa kustawishwa na kufanywa eneo la mapumziko na utalii. 
Eneo kama hili kule Zanzibar lilitengenezwa na kuwa eneo maarufu kwa mapumziko na chakula linaloitwa Forodhani.
Hebu fikirieni kufanya kitu pale jamani badala ya kupaacha kuwa sehemu ya kilimo cha mboga mboga na ufugaji wa samaki.


NIMEWAZA TU...

Monday, June 27, 2016

How great thou art!


I think there times that God uses his artistic hand to decorate the sky.!

May your life be decorated and you enjoy God's favor this week!

SBP.

Friday, June 24, 2016

Kiingereza, Kidhungu hiki!!


Eti wengine wanasemaga hii lugha ni Janga la taifa, wengine wanasema hii lugha ni kipawa ambacho mtu inampasa atunikiwe na Muumba.

wewe Unasemaje??

Ila hii lugha imekuja na meli jamani, tuwe makini tusiharibu vya kwao! si tumie kiswahili chetu tu!!

Tuesday, June 21, 2016

In love with nature!

Whether you like it or not but for sure God is the greatest artist ever! Wondering how he planned and orchestrated everything it is so amazing/

Enjoy these shots from Mwanza Tanzania;








Psalm 8:1 
Lord, our Lord,
    how majestic is your name in all the earth!
You have set your glory
    in the heavens.
Through the praise of children and infants
    you have established a stronghold against your enemies,
    to silence the foe and the avenger.
When I consider your heavens,
    the work of your fingers,
the moon and the stars,
    which you have set in place,