Tafuta/Search This Blog

Sunday, August 7, 2016

Ni HUMPREY na LEAH!!

 Msafara kuingia kanisani.

 Mkao wa matumaini!

 



Hatimaye Humphrey ni mume wa Leah. Ndoa imefungwa mchana huu hapa Mwanza na sherehe itakuwa leo jioni hapahapa Mwanza.

- Picha kwa Hisani ya Warren Charles.

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa na kumalizikia kwa amani kubwa sana.

Humphrey sasa ni mume wa Leah na Leah ni mke wa Humprey.

SBP inawatakiwa maisha mema sana ya kushesha kitrilionea!! 



--Picha zaidi kwa hisani ya Matilda.





No comments: