Tafuta/Search This Blog

Thursday, April 30, 2009

Kama tukijinyenyekeza kama watoto, tutaweza kuingia Mbinguni

Tazama USO huu usivyo na HATIA
Tazama uso huu unavyo thibitisha unyoofu wa Moyo


COMPASSION INTERNATIONAL TANZANIA


LEO COMPASSION INTERNATIONAL TANZANIA (CIT) INATIMIZA MIAKA 10 TANGU WALIPOANZA HUDUMA HAPA TANZANIA.

PAMOJA NAO, TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KAZI YAO NZURI YA KUYAINUA MAISHA YA MTOTO ILI KUJENGA KIZAZI CHENYE MAENDELEO LAKINI PIA KINACHOMCHA MUNGU.

MUNGU AWABARIKI COMPASSION INTERNATIONAL TANZANIA.

Special salamu kwa marafiki zetu, Asumpta, Raphael, Andrew, Miriam, mama Kisinza and Dr. Materu!
we love you sana!!

Tuesday, April 28, 2009

Kwa Watu wa ARUSHA TUU!!


Hivi ndivyo inavyokuwa jioni ya Arusha. Watu wanarejea makwao mji unaanza kuwa na watu wachache na anga linakuwa na mawingu ya kupendeza.
THIS IS OUR BEAUTIFUL ARUSHA, THE GENEVA OF AFRICA!!

SIASA KIDUUUCHU!

Mengi ana nia mbaya - Waziri Simba
• Mengi amjibu, asema hajui anenalo

na Tamali Vullu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Sophia Simba, ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, ya kuwashambulia wafanyabiashara wenzake kwa kuwaita mafisadi papa.

Mbali ya hayo, Waziri Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) alisema kitendo alichokifanya Mengi kinaonyesha namna alivyo na nia mbaya na wafanyabiashara wenzake.

Waziri huyo alisema, kitendo alichofanya Mengi ambaye alisisitiza kuwa hakuwa na mamlaka hayo, kinaonyesha namna anavyoingilia kazi zinazopaswa kufanywa na taasisi nyingine za dola.
“Alichofanya Mengi ni kosa, na kwa lugha ya vijana wa mjini, wanasema amechemsha. Kuna vyombo vingi vya serikali ambavyo angeweza kupeleka suala hilo, lakini kwa jinsi alivyofanya si mahala pake... Ana nia mbaya na wenzie,” alisema Simba ambaye kimsingi yeye ndiye waziri mwenye dhamana ya kusimamia utendaji wa kazi wa Taasisi ya Kuzua na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inayohusika na kesi zote zinazohusu ufisadi.

Simba alikuwa akijibu tuhuma zilizotolewa na Mengi mwishoni mwa wiki iliyopita, ambaye aliitisha mkutano wa waandishi wa habari na kuwataja wafanyabiashara watano, wanne wakiwa na asili ya Kiasia na mmoja Kiirani kuwa watuhumiwa wakubwa wa ufisadi aliowaita ‘mafisadi papa’.

Katika mkutano wake huo na waandishi wa habari, Mengi anayemiliki mtandao mkubwa wa vyombo vya habari yakiwamo magazeti, televisheni na redio, alikwenda mbele zaidi na kuwatuhumu wafanyabiashara hao kuwa watu wanaokwamisha juhudi za Rais Jakaya Kikwete za kupambana na rushwa.

Mbali ya hilo, Mengi alisema iwapo vyombo vya dola vitafanikiwa kuwadhibiti watuhumiwa hao wakubwa wa ufisadi, basi nchi itapona na kuondokana na matatizo mengi yanayoikabili sasa.
Mengi alikwenda mbele zaidi na kusema kwamba, watuhumiwa hao wa ufisadi, wamefikia hatua ya kuanza kuwatisha watu wachache waliojitoa mhanga kukabiliana na vitendo vya ufisadi nchini.

Katika orodha hiyo ya watuhumiwa, Mengi aliwataja Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM), Yussuf Manji, Shubash Patel, Jeetu Patel na Tanil Somaiya.

Kama ilivyo kwa Mengi mwenyewe, mbali ya kuwa wafanyabiashara, baadhi ya watuhumiwa hao kama Rostam na Tanil wanahusishwa na umiliki wa baadhi ya vyombo vya habari nchini.
Waziri Simba ambaye jana hakueleza iwapo msimamo huo dhidi ya Mengi ulikuwa wake binafsi au wa serikali, alisema mfanyabiashara huyo hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufanya kile alichokifanya, cha kuwanyoshea vidole vya ufisadi wafanyabiashara wenzake.

Alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kufungua semina ya kujadili sheria ya maadili ya viongozi ya mwaka 1995, iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na kufanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam.
Pasipo kufafanua, Waziri Simba ambaye amekuwa kiongozi wa juu wa kwanza wa serikali kutoa kauli, tangu Mengi alipowashutumu wafanyabiashara watano kwa tuhuma za ufisadi, alisema kauli hiyo ya mfanyabiashara huyo inaonyesha namna alivyo na nia mbaya na wafanyabiashara wenzake.

“Kwanza yeye ni nani mpaka awataje? Mfano Jeetu (Patel) suala lake bado lipo mahakamani, hivyo bado ni mtuhumiwa tu mpaka mahakama itakapotamka vinginevyo.
“Mengi hana haki ya kuwaita wenzake mafisadi papa, na asitumie magazeti yake vibaya,” alionya waziri huyo.

Alipotafutwa kwa njia ya simu na Tanzania Daima jana na kuelezwa shutuma zilizoelekezwa kwake na Waziri Simba, Mengi alisema kwa ufupi kwamba, anamwombea Waziri Simba kwa Mwenyezi Mungu na kwa masikini Watanzania, wamsamehe kwa sababu hajui anenalo.
“Mimi namwombea kwa Mwenyezi Mungu na kwa masikini Watanzania, wamwombee kwa sababu hajui anenalo,” alisema Mengi kwa ufupi, akijibu kauli ya Waziri Simba.

-Tanzania Daima.

SBP hatupo upande wowote katika hawa ila kuna wakati tunasomasoma mambo ya siasa!

Monday, April 27, 2009

CONFERENCE BIRMINGHAM


Ndugu, Jamaa na Marafiki,Tunapenda kuwakaribisha kwenye conference ya neno la Mungu itakayohudumiwa na watumishi wa Mungu CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE toka Tanzania.


Conference hii ya namna ya kipekee kabisa na yenye ujumbe maalum kwa wakati huu na majira haya tunayoishi kwa kila mtu itafanyika Birmingham, AL USA Mei 22 - 24, 2009.


Mungu amekuwa akiwatumia hawa watumishi ndani na nje ya nchi kwa Upako na wengi wamefunguliwa,kuponywa na kutiwa moyo kupitia huduma hii.

Wednesday, April 22, 2009

COST CUTTING MEASURES

Hii nimeikuta kwa dada Subi nikaipenda sana....

HOME INTERNAL MEMO

FROM: FATHER
TO: ALL DEPENDANTS AND RELATIVES
CC: MOTHER

SUBJECT: FINANCIAL MELTDOWN/COST CUTTING MEASURES FOR YOUR URGENT ATTENTION

Due to the current economic situation, all domestic rules and regulations have been revised as below and under no circumstance is any violation going to be accepted.

1. The Kitchen and all pantries are declared Restricted Zones. Entry and/or passage shall require express permission from myself upon submission of written request.

2. Breakfast is banned. This matter cannot be discussed!

3. Such food items as rice, chicken, butter, jam, eggs, bread and milk are Restricted. Anyone intending to eat any of such foodstuffs must write to me in triplicate, with three days notice, giving justifications backed by a qualified dietician’s report as supportive documentation.

4. Watering with hoses is banned. Further, only food-giving plants shall be watered. No lawns or flowers shall receive water. For internal decoration, only plastic and dry-flower arrangements shall be permitted.

5. Bathing in the morning is limited to 5 litres of water per day per person while bathing in the evening is banned unless there are medical reasons.

6. All security lights should be removed with immediate effect. All dependants shall abide by an all-night guard-duty roster I shall make available shortly.

7. No dependant shall entertain friends indoors, far less attempt to offer food, drinks or even music. Those who want their guests to listen to music shall sing for them.

8. No one is allowed to talk to officials from police, Council or Court Bailiffs; doing so shall carry an instantaneous penalty of ejection from The House.

9. Anybody who breaks a glass, furniture or any other property in The House, shall immediately have to seek temporary employment somewhere to earn money to replace such broken item(s).

10. All visitors intending to spend a night/week or more shall apply in triplicate and give two months notice, with an endorsement from their town Mayor, Village Headman or Church Priest, giving convincing reasons why they can't stay at their homes. Failure to do this shall result in their being turned away, at the gate, upon arrival.

THESE RULES ARE BINDING AND NOT SUBJECT TO ANY DISCUSSION WHATSOEVER!

Tuesday, April 21, 2009

UCHUMI TUNAUKALIA

JAMANI HUKU KWETU KULIVYOKUWA NA MAJOKA NA KILA SIKU YANAJERUHI AU KUUA WATU. SANA SANA WATU WACHACHE WAMEYATUMIA MAJOKA HAYO KWENYE NGOMA! HEBU ONA KWA WENZETU!
NYAMA YAO INAONEKANA KAMA TAMU VILE!!












SHIDA YAO NI HIZO NGOZI!
TUCHANGAMKE JAMANI!!



Picha hizi na habari hii nimekutana nayo kwa blogger mwingine anayeitwa SUMO.

Just for a laugh!!

John the baptist


A young boy had just got his driver’s license and asked his dad if they could discuss his use of the car. His father said he’d make a deal with his son. “If you bring your grades up from C to B, study your Bible and get your hair cut…… then we will talk about you borrowing the car”.
The boy thought about that for a moment, and then decided he’d settle for the offer and they agreed on it.
After about six weeks his father said, “Son, am really proud of you. You have brought your grades up and I’ve been watching you studying your Bible. However, I’m a bit disappointed that you haven’t had your hair cut”. The lad paused a moment then said, “You know, Dad, I’ve been thinking about that and I have noticed in my studies of the Bible that Samson had long hair, John the Baptist had long hair and there is a strong argument that Jesus had long hair too”.
To which his father replied, “Did you also notice they all walked everywhere they went?”

Thursday, April 16, 2009

Kuchimba DAWA porini ni Halali au Haramu?

Kwanini tuchimbe dawa porini? au ni janja ya watu fulani? Kwanini tusichimbie ktk sehemu za kuwekea mafuta? kwani huko kuna vyumba vya choo. Jiulize kisha nijibu.
Unacheki, sehemu hata haina miti. Eti watu wa jinsia zote tuchimbe dawa hapo! Mwe! Sema wewe.


Bishop Justine Lukandu and Mrs


Bishop & Mrs J. Lukandu, walikua katika huduma kabambe hapa Dar es Salaam, Mungu aligusa watu na wenye magonjwa kuponywa, wenye shida mbalimbali waliombewa. Bishop na Mkewe wanatoka eneo la Shianda Magharibi ya Kenya.
Shalom Broz tunawaombea MUNGU auzidishe utumishi wenu. God bless.

Friday, April 10, 2009

Happy EASTER!

WHAT IS GOOD FRIDAY?

Good Friday is the Friday immediately preceding Easter Sunday. It is celebrated traditionally as the day on which Jesus was crucified. If you are interested in a study of the issue, please see our article that discusses the various views on which day Jesus was crucified. Assuming that Jesus was crucified and died on a Friday, should Christians remember Jesus' death by celebrating Good Friday?

The Bible does not instruct Christians to remember Christ’s death by honoring a certain day. The Bible does give us freedom in these matters, however. Romans 14:5 tells us, “One man considers one day more sacred than another; another man considers every day alike. Each one should be fully convinced in his own mind.” Rather than remembering Christ's death on a certain day, once a year, the Bible instructs us to remember Christ’s death by observing the Lord’s Supper. First Corinthians 11:24-26 declares, “...do this in remembrance of me...for whenever you eat this bread and drink this cup, you proclaim the Lord's death until he comes.”Why is Good Friday referred to as “good”? What the Jewish authorities and Romans did to Jesus was definitely not good (see Matthew chapters 26-27). However, the results of Christ’s death are very good! Romans 5:8, “But God demonstrates his own love for us in this: While we were still sinners, Christ died for us.” First Peter 3:18 tells us, “For Christ died for sins once for all, the righteous for the unrighteous, to bring you to God. He was put to death in the body but made alive by the Spirit.”

Many Christian churches celebrate Good Friday with a subdued service, usually in the evening, in which Christ’s death is remembered with solemn hymns, prayers of thanksgiving, a message centered on Christ suffering for our sakes, and observance of the Lord's Supper. Whether or not Christians choose to “celebrate” Good Friday, the events of that day should be ever on our minds because the death of Christ on the cross is the paramount event of the Christian faith.
*****************************************************************
SBP INAWATAKIENI NYOTE HERI NA BARAKA KATIKA SIKU HII YA PASAKA!!

Thursday, April 9, 2009

Mimi sielewi! Kwanini Hapa pako hivi????????

Nyuma ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbilitena ni nyuma ya Jengo la Watoto, kuna madimbwi haya ambayo unaweza usiamini ukiyaona.
Madimbwi haya yapo miaka nenda rudi. Haijawahi kutokea yakapatiwa ufumbuzi
Pembeni ni majumba ya watu wenye pesa zao, kwa mbali ni Richmond tower na nyumba nyingine za vibosile. kwanini mbambo haya kuachwa hivi?

Wednesday, April 8, 2009

GOD KNOWS BEST!!


Our Father knows what's best for us,So why should we complain ...

We always want the sunshine,But He knows there must be rain.


We love the sound of laughter And the merriment of cheer;

But our hearts would lose their tenderness If we never shed a tear.


Our Father tests us often With suffering and with sorrow;

He tests us, not to punish us,But to help us meet "tomorrow."


For growing trees are strengthened When they withstand the storm;

And the sharp cut of the chisel Gives the marble grace and form.


God never hurts us needlessly,And He never wastes our pain;

For every loss He sends to us Is followed by rich gain.


And when we count the blessings That God has so freely sent;

We will find no cause for murmuring And no time to lament.


For Our Father loves His children,And to Him all things are plain;

So He never sends us "pleasure"When the "soul's deep need is pain."


So whenever we are troubled,And when everything goes wrong,It is just God working in us To make "our spirits strong."

Monday, April 6, 2009

Thursday, April 2, 2009

UJUMBE

"In the middle of difficulty lies opportunity."

SO... Dont ever give up! Press on!!