Tafuta/Search This Blog

Thursday, June 20, 2019

SHALOM!

Hellows wapendwa wetu!

It has been so long! So many things have happened to us and we know so many things has happened to you too.
But all in all we are grateful for everything.

Katika mengi ambayo yalitutokea moja kubwa ni kwamba we lost our dear father who was sick for more than ten years.
Mchungaji Gordon Daudi Lwendo, alifariki tarehe 08 Mwezi Novemba mwaka jana wa 2018.

We thank God aliimaliza safari yake vyema na amepumzika.

Lets share some few shots of the send off ceremony we gave him on Dar. He was buried on the 10th of November.












Tunamshukuru Mungu kwa yote na company ya marafiki na ndugu tuliyoipata kipindi hicho and lets ROLL!

No comments: