Tafuta/Search This Blog

Sunday, August 31, 2008

Karibuni!!

Ndugu wapendwa tunapenda kuwa taarifu kwamba kuanzia sasa unaweza kutuma picha zako na taarifa zozote zile na sisi hautasita kuzipublish katika hii blogu yetu. Jamani msiatuache peke yetu tunahitaji maoni na michango yenu mbalimbali.

Tuma picha na vitu vyote unavyoona ni productive kwa kupitia emails zifuatazo; godlovegordon@gmail.com, enson79@yahoo.co.uk na tangij@yahoo.com.

Unaweza pia kutupata katika namba zifuatazo za simu; 0784 494906, 0784 992221 na 0756 025428. kwa wale mlio nje ya nchi msisahau kuanza na +255.

Tunawapenda sana!!

-Shalom Broz Productions.

Tuesday, August 26, 2008

Blandina


Maggie


Allan


Dickson


Lina


Joshua

Kidhibao!!!

Mwisho kabisa.

Kuna wakati ilibidi kufuta machozi maana kuna ka uchungu kakiaina kanakuwepo unapotakiwa kuiacha familia na hasa ndugu wazuri kama Shalom broz!! Sista alikuwa analia pale mwishomwishoni!
Duh lakini Bwana Shem naona sijui ndio ameweka pozi gani hapa....

Na hadithi ikaishia hapo. Sisi Shalom Broz tunawatakia maisha mema ya baraka huko muendako. Mpate watoto na sisi tupate wajomba.

Tummogele tummogele.....tummogeleeeeeeeee!!!

Picha zote zimepigwa na Enson na TangiJ.

Tafadhali usitumie picha hizi bila kibali chetu... ni afadhali utuombe na tutakutumia nzuri katika inbox yako.

Tahadhari: WAKAIDI WOOOTE TUTAWALOGA!!

mwisho mwisho






mwisho mwisho






Monday, August 25, 2008

Mambo ya mapozi!

Sina la kuongeza!!




Halooooo!!





Inajieleza!!
Wakakaz. Joshua na Godlove ndani ya majumba meusi.
Wasimamidhi wa arusi na ndugu wenyewe.
Kitu kimoja ambacho tutakimiss sana kwa huyo dada yetu ni uwezo wake wa kuimba na kutunga nyimbo. She is very good! Hapa alipata nafasi ya kumrudishia Mungu utukufu kwa kuimba wimbo mmoja na wasimamizi wake. Mambo ya hisia kali!


Mwalimua wa Kwaya. Bwana Shem mambo haya kidogo yanampiga chenga. bado kidogo angeanguka alipojaribu kucheza steps!


wadada hao!!.....Wameolewa!!

yaani!


Pete kidoleni hiyooo inashuka kama ifuatavyo!!

Huu ni mkataba na lazima mambo ya signature yawepo.
Ladies and gentlemen, here comes Mr&Mrs Mwakisambo!!

Mama, baba na watoto. mtoto mpya wa kiuma katika familia yetu......

Arusi yenyewe sasa!!






Ndugu zetu wapendwa haya ndio mambo ya arusi yalivyokuwa. Arusi ilifungwa katika kanisa la Tanzania Assemblies of God, Kigogo Mburahati.


Mambo ya mitoko na vivazi siku hiyo ilikuwa ni rangi nyekundu na nyeusi tu!! Kama unavyoona!


Onyo: Hao wadada wanaosindikiza nasikia wana wenyewe!! Sisi hatuna uhakika lakini. Ukitaka mawasiliano nao usisite kutuuliza!

Thursday, August 21, 2008

Sherehe!








Hayo ndio baadhi tu ya mambo katika ukumbi wa sherehe hapo New Msasani Pub hiyo tarehe 15 Aug 2008.


Maisha ni briiiiiiiiii!!!




Bado mengi yatakujia very soon including picha za Arusi yenyewe!




We love you all.




-Shalom Broz

Wakaka na wadada







ndugu jamaa na marafiki waliojumuika!!