Tafuta/Search This Blog

Wednesday, September 30, 2009

Typhoon Ketsana - Philippine

A Filipino boy is carried to safety through floodwaters brought by Tropical Storm Ketsana in the Quezon City suburban of Manila on September 26, 2009.

Residents wait for rescuers at a building during flooding caused by Typhoon Ketsana in Cainta Rizal, east of Manila September 27, 2009.


Residents stand on electric wires to stay on high ground while others wade in neck-deep flood waters caused by Typhoon Ketsana in Cainta Rizal, east of Manila September 27, 2009.


A tourist wades through a flooded street in the town of Hoi An in the central Vietnamese province of Quang Nam on September 30, 2009.


Motorists drive by vehicles lined up along a road after flash floods caused by Typhoon Ketsana hit Provident Village in Marikina City, Metro Manila September 27, 2009.



Residents wade in floodwaters caused by Typhoon Ketsana in Cainta Rizal east of Manila September 27, 2009.

Workers trying to recover valuables rush out of a building that is on the verge of collapsing after suffering damage from the floods brought on by the continuous rains of Typhoon Ketsana, in the town of Tanay Rizal east of Manila September 28, 2009.

Residents lead their pig through floodwaters brought on by Typhoon Ketsana, in Binan Laguna south of Manila September 29, 2009.

This aerial photograph shows the town of Angono just east of Manila on September 29, 2009.

Residents transport a vehicle on a makeshift raft through floodwaters brought by Typhoon Ketsana, in San Pedro Laguna, south of Manila September 30, 2009.

Themi Apartments - Arusha.



Tuesday, September 29, 2009

Hii nimeipenda!!

Serikali kuagiza matrekta 10,000 kutoka India

Hussein Kauli

SERIKALI imesema inatarajia kuagiza matrekta 10,000 kutoka India ikiwa ni hatua ya kuboresha sekta ya kilimo kupitia sera ya Taifa ya Kilimo Kwanza .
Hayo yalisemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera na Bunge), Philip Marmo, alipokuwa akizungumza kupitia kituo cha televisheni cha Star Tv jana asubuhi.
Kauli hiyo ya Marmo ilikuwa ikijibu hoja ya mtaalamu aliyealikwa katika kipindi hicho, kueleza kuwa kuna haja kwa serikali kuifanya sera hiyo kuwa hai kwa kuitekeleza kivitendo.
"Kama kweli serikali imeamua kuboresha sekta ya kilimo inatakiwa itekeleze kivitendo kwani hatujawekeza kutekeleza haya, hivyo tunahitaji kufanya sera hii kuwa hai" alisema mtaalamu huyo.

Akijibu hoja hiyo Marmo alisema, “katika kutekeleza sera ya Kilimo Kwanza serikali ina mipango thabiti. Kuna mambo mengine si vizuri kuyazungumza sasa” alisema Marmo na kuongeza.
"Kuna matrekta elfu kumi tunatarajia kuyaagiza kutoka India ambayo tutayapeleka Kibaha kwa ajili ya wakulima, hii ni kuonyesha jinsi serikali inavyojipanga kutekeleza Kilimo Kwanza."
Hata hivyo,Marmo alipinga dhana iliyoelezwa na mwananchi mmoja kutoka Dar es Salaam, kuwa Kilimo Kwanza ni sera ya Uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akisema hiyo ni sera ya Taifa.

"Sera ya Kilimo Kwanza siyo sera ya uchaguzi ya CCM, bali ni sera ya Taifa ambayo iliandaliwa kwa ushirikiano na vyama vya mbalimbali na wataalamu wa serikali", alisema Marmo.
Kuhusiana na hali ya upungufu wa chakula uliopo nchini, Marmo alisema, karibu nusu ya nchi inakabiliwa na tatizo hilo, lakini serikali imejipanga vyema kukabiliana nalo.
"Hali ya chakula si nzuri, lakini si mbaya kiasi cha kutangaza hali ya hatari.Kwa sasa tunahamisha chakula kwenda kwenye mikoa yenye upungufu na tumeruhusu wafanyabiashara kununua vyakula kutoka sehemu zenye chakula kwenda maeneo yenye upungufu, ili kukabiliana na tatizo hilo,"alisema Marmo.

Akizungumzia mvua za El nino zilizotabiriwa kutokea hivi karibuni, Marmo alisema utabiri huo ni sahihi na tayari wameshaunda kamati za maafa kuanzia ngazi ya kijiji hadi mkoa kukabiliana nayo.

Katika kipindi hicho ilielezwa kuwa, mvua hizo zimeshaanza kunyesha mkoani Mwanza na Marmo amesema serikali inashirikiana na JWTZ pamoja na Msalaba Mwekundu kutoa msaada kwa wale watakaoathirika na mvua hizo. "Kwa wale wanaoishi mabondeni Serikali haiwezi kuwatoa kwa nguvu bali inawaelimisha juu ya athari zake.
"Lakini kuna dosari katika kutekeleza sera ya maafa sehemu za vijijini" alisema Marmo na kuongeza: "Pamoja na uharibifu utakaoletwa na mvua za el-nino, ningependa tuzitumie vizuri kuimarisha mabwawa yetu ili tuwe na maji ya kutosha baadaye."

-Food for the thought

Monday, September 28, 2009

Kwa wale tuliokulia USWAZI...


Taswira hii lazima itakuwa imekukumbusha enzi zako flani hivi....

Irene Munisi

Tarehe 24 September ilikuwa ni siku ya dada yetu Irene kuhitimu masomo yake ya shule ya upili katika shule ya upili ya Arusha. Aliitumia fursa hiyo kumshukuru Mungu kwa kumwezesha kumaliza miaka 4 bila matata yeyote hata kama kulikuwa na changamoto ndogondogo za kibinadamu. Zifuatazo ni baadhi ya picha katika matukio yaliyofuatana na tukio hilo.

Irene - Full uniform!!


Wazazi wa Irene, Mr and Mrs Munisi.

Mama mdogo wa Irene, Mrs. Jane Kombe.




mama na mwana!
Na mwisho kabisa...
*
*
*
*
*
*
**
***
****
*****
****
**
wazamiaji huwa hawakosekani, na hukaa viti vya mbele na kula keki kubwa!!!!

Iga ufe!!

SBP inamtakia Irene mafanikio katika maisha yake ya kielimu na hasa katika mtihani wake wa kumaliza masomo ya shule ya upili!

NB: Victor Makere, Ian Kakore na Enock Makere pia walikuwepo lakini walikaa mbali na camera!

Sunday, September 27, 2009

Mama na mwana!!



Nyumbani kwa kaka Leonard Swai na dada Grace kumezaliwa mtoto wa kike ambaye kwa hekima kubwa wazazi wake wamempa jina la Annick.

Jumapili ya tarehe 20 September mtoto huyo aliwekwa wakfu (dedicated to God) kanisani Calvary Temple.

Sisi SPB tunawapongeza sana kwa kupata mtoto na tunamwombea maisha marefu na makuzi ya uadilifu na afya njema.

Wednesday, September 23, 2009

Ujenzi umeanza wa CALVARY TEMPLE DEVELOPMENT COMPLEX





Nondo ndio hizo zimeshatokeza zege linakaribia kumiminwa na msingi ndio unaanza taratibu namna hiyo.
SBP ipo karibu sana na eneo la ujenzi na tutaendelea kuwaletea picha na habari za maendeleo ya ujenzi huu.


Mambo ya walimwengu...

A 12-year-old boy in southern England returned to school as a girl after summer holidays. The boy, who has now had his name changed to a girl's, arrived at school in a dress. Teachers had to call an emergency assembly to explain the massive change to confused pupils and tell them they must now treat the child as a girl."We are committed to ensuring the best for our child. We are working with other agencies to ensure our child's welfare is protected," his mother told The Sun.

But other parents reacted angrily and said the head teacher should have warned them before the school's announcement to their children."They behaved appallingly by throwing this hand grenade into the room and then leaving the inevitable questions about it for unprepared parents,' one mother said."Maybe we could have explained sexual politics and encouraged our kids to be more sensitive if we''d had a chance to be involved."
Another parent of a girl child said: "She told me the pupil is already a target for bullying."And what has really upset the parents is that the school didn''t see fit to send us a letter first so we could explain it to our children in our own way."

The transgender boy's mother said that all things possible is being done for the welfare of the kid. She said: "We are committed to ensuring the very best for our child. We are working with other agencies to ensure our child''s welfare is protected."The boy, who has for years told his friends he wants to be a girl, could now become the world's youngest sex change patient.After taking the decision to return to school as a girl, he is preparing for hormone treatment and ultimately surgery.

Under UK law, this cannot happen until he has passed puberty.German Kim Petras became the world's youngest transsexual at 16 earlier this year, changing her name from Tim.

The World's most complicated railway line

Inspite being the most complicated railway network, we never hear about any accidents in Frunkfurt Germany.
Linaganisha nia TRL yetu ya Bongo uone.

Sowers Group ndani ya Calvary Temple!


Hawa ndugu wako na kitu kikubwa sana na Mungu aliwatumia sana walipokuja kuabudu nasi Calvary Temple jumapili iliyopita.


Mike pamoja na mkewe. Sikufahamu kama hawa ni wanandoa!!

Oswald, worship him brother!!


Kelvin, the mighty bassist. keep it up brother!

Felis the drummer!


It was such a blessing moment na hawa ndugu as they lead us into praise and worship and giving us the testimonies about their lives and encouraging us to give for the needy!

God bless you Sowers Group!













Monday, September 21, 2009

FARAJA SEMINARY

Weekend hii iliyopita SBP ilitembea shule ya upili ya Faraja. Na hapa ni baadhi ya picha za huko...


Bango la shule kutoka hapa mpaka shuleni ni kama 1km.


Njiani


Ndani ya shule, miti kibao...



Watoto wakiwa chini ya miti wakijisomea!



Katika madarasa,










Jikoni




Wapishi wakiandaa misosi!





Wanafunzi, wako smart!!




Ukumbi mpya wa chakula (DH) katika matengenezo.





Kwa ndani.






Upande wa miradi, bustani ya mboga na mabanda ya kuku mayai.




Mayai tayari kwa kwenda kwa wateja.





Domitory









Wanafunzi dukani
Kwa kweli tunapenda kuupongeza uongozi wa shule hii na chama cha wanawake wa kanisa la TAG ambao ndio wamiliki wa shule hii kwa mikakati na maendeleo ya seminary hii.
Shukrani za pekee ziwafikie wafuatao: Mwalimu Maggie Seuya, Dada Josephine, Kaka Asagwile, kaka Elias, kaka Martin, waalimu wote na wafanyakazi wote wa shule.

Kona Mwanama..


Kwa wale watu wa A town na wale wapenzi wa mji huu pia...

Tuesday, September 15, 2009

Katuni ya ukweli sana!

Hii katuni ya Kipanya ni moja kati ya katuni zilizonifurahisha sana kabisa. Sijui viongozi wa serikali yetu huwa wanapitia hizi katuni?? Natamani wale jamaa wanaohusika na ubinafsishaji na mambo ya uwekezaji wangeiona hii katuni. Kama kweli baadhi ya wawekezaji ni washirikina basi waliologwa ni wao. SHAME ON THEM! Watu wanapewa dhamana ya kuisaidia nchi yetu maskini lakini kwa tamaa zao wanaingia mikataba mibovu... haya ndio matokeo yake. Natamani ningepata nafasi ya kuwa juu ya watu kama hawa hata kwa siku moja tu...nakwambia kusingekuwa na kesi, ni hukumu tuuuu... Mungu ibariki Tanzania, na tunakuomba usifumbie macho wale watu wenye tamaa, uwaadhirishe!!!



Friday, September 11, 2009

KIVULI KINAISHI

Picha hii nimeipenda sana, inanikumbusha niliposoma kitabu kimoja kinaitwa "Kivuli Kinaishi"

Wednesday, September 9, 2009

Usiku wa 29 Aug 2009 ilikua B'day ya 60 ya Anti yetu Dora S Temba

Samwel Temba na Mkewe Dora siku ya Birthday ya 60
Anti Dora ktk Pozi


Familia nzima ukiacha Mkuu wa kaya Eliya ambaye yupo Australia, Hareheni, Jane, Flecha na Mrs Shogholo