Tafuta/Search This Blog

Wednesday, May 6, 2009

Raila Abatizwa!!

Ndani ya Maji, waziri mkuu wa Kenya akiwa katika process za ubatizo katika kanisa la National Repitance and Holiness Ministries.
Inasemekana na rais wa nchi hiyo yuko mbioni kutimiza haki zote!!

Habari na picha kutoka Full Shangwe!!

No comments: