Tafuta/Search This Blog

Thursday, October 18, 2012

Tanzania ninayoijua mimi ni nzuri!!

Mbarali karibu na makao makuu ya wilaya ya mbarali. Kwa mbali inaonekana mwanzo ya milima ya Udzungwa.

Mto Mbarali, maeneo ya Igawa.

Shamba la miti la Sao Hill maeneo ya Mafinga.
Maeneo ya mwanzo wa mlima Kitonga, Iringa.
Mimi bado ninaamini hii ni nchi nzuri sana. Je unaamini pamoja nami?? Please do.

No comments: