Tafuta/Search This Blog

Tuesday, October 30, 2012

BARNABAS MINJA "BARII" NA DELPHINA SASA NI MWILI MMOJA

vijana wakijimwayamwaya...


Barii kwa aibu....!

Mr & Mrs Minja in 3D!
Hatimaye kijana wetu sasa amekuwa mkubwa na amempata mwenzake wa kuspend maisha! Arusi ilifungwa huko Moshi Tanzania na kushuhudiwa na wazazi pamoja na marafiki lakini pia kutakuwa na sherehe ya kumkaribisha "mwali" katika jiji la Mwanza siku chache zijazo.

SBP tunawatakia vijana wetu maisha mema na marefu ya ndoa.

**Picha kwa hisani ya kaka Stanley Joseph.

No comments: