Tafuta/Search This Blog

Sunday, October 4, 2009

St. Joseph Ngarenaro Secondary School - Arusha.

Shule ya wasichana ya St Joseph Ngarenaro ni moja kati ya shule maarufu na mashuhuri hapa Arusha na Tanzania. Shule hii imetimiza miaka 25 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1984. Jumamosi ya tarehe 3 Oktoba ndio yalikuwa maadhimisho ya silver Jubilee hiyo pamoja na mahafali ya kidato cha nne. SBP ilipata nafasi ya kuhudhuria na hizi ni baadhi ya picha.



No comments: