Tafuta/Search This Blog

Monday, October 12, 2009

Simon na Joyce!! 10/10/2009

Bi Joyce akiingia ndani ya ukumbiMch Titus Mkama, Msajili wa ndoa ya Simon na Joyce
Kuna mtu kati yenu ananeno lolote ili ndoa hii isifungwe? HAKUNA!!!
Mnatoa nini?
Nakupokea wewe uwe Mume/Mke wangu halali niliyekuchagua
Cheti cha ndoa
Baraka za ndoa
Bwana na Bi Arusi wameungana, sasa ni mmoja. (1+1=1) Mwe!!!!
Kaka G alikuepo!Wazaa Chema (Bwana Arusi)
UWazaa Chema Bi ArusiPPicha hii inanikumbusha Mbaaaaaaaaaali zaidi. pale nilipoambiwa kuwa Mch Mkama nndiye alifungisha/alikua msajili wa ndoa ya Mr & Mrs Clement Mbaga. wazazi wa Simon Mmbaga.
Pozi la kuunganaPamoja na wazazi

Kama kawaida ndani ya ukumbi wa Amecia TEC Baraza la Maaskofu






Hatimaye yametimia! Simon na Joyce walisogea mbele ya madhabahu na ndoa yao kufungwa jumamosi ya tarehe 10 october 2009 katika kanisa la TAG Kigogo Mburahati. Simon ni Braza wetu lakini pia ni mdau mkubwa sana wa maendeleo ya SBP. SBP ilikuwa karibu sana na tukio hilo na hizi ni baadhi ya picha zilizopatikana katika siku hiyo!!

1 comment:

Lilas Conuts said...

Hello from Nouméa
eautiful wedding, thank you for sharing