Tafuta/Search This Blog

Sunday, November 9, 2008

Weekend iliyopita

Naamini wadau woote kabisa mko fit na mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku.
Weekend iliyopita nilikwenda kumsalimu babu yetu huko katika milima ya ugweno. Nilipiga picha kidogo ambazo naona itakuwa vyema na ninyi mkaziona.

Mlima Kilimanjaro unavoonekana ukiwa maeneo ya Bomang'ombe.


Huyo kijana wa katikati ndio mjanja wa kijijini, anaitwa Eliamani au Godlove G. Temba ni mtoto wa Uncle wetu anayeitwa Goodluck.


Nilipenda sana hili pozi la hawa marafiki wawili niliowakuta nyumbani kwa babu yangu. Yani huyo Mbwa hana noma kabisa akiwa na huyu Paka kiasi kwamba kuna wakati utakuta wanapiga stori zao na hakuna tatizo kabisa. Hapa walikuwa wameshiba na wanaanza kupata kausingizi ka mchana!!

Nice time wadau...


No comments: