Tafuta/Search This Blog

Friday, October 31, 2008

Abel na Josephine wanang'aa!!

Hatimaye yule senior Bachelor wa Tanzania Meteorological Agency intake ya 2002 ndugu Abel Nyamenda alichukua uamuzi wa kujisogezea kipenzi chake karibu naye kwa kufunga ndoa takatifu na dada Josephine Mwakang'ata huko Mbeya tarehe 4 mwezi wa 10 mwaka huu.


Mr&Mrs Nyamenda!!

Msafara katika mchuma wa ukweli!!

Mapozi ya Mrs Nyamenda haya!!

Mmmmhhhhhh!!! Sina nyongeza, jionee mwenyewe!!!!!





Mashahidi



Sisi Shalom Broz tunawatakia Mr&Mrs Nyamenda maisha mema na ya baraka. Kuna ukweli ambao bado hatujauthibitisha lakini tunauamini kwamba mtu akioa milango yake ya mafanikio hufunguka zaidi!! Kazi kwako kaka Abel!!
Tunasubiri ubwabwa wa kaka Sanga.




No comments: