Tafuta/Search This Blog

Wednesday, October 8, 2008

Dina ya kampuni!! (Inahitaji uvumilivu)

Siku ya tarehe 7 OCT ilikuwa siku ya dinner kwa kampuni ya kaka G. Yaani kulikuwa na mambo mengi mazuri na haya ni machache...


Manager na Accountant


Pozi la kusubiria!! Kaka G na Hussein.


Pozi jingine!! Conrad(Mjomba wa watoto) na Martin


Mambo ya Dessert haya. Najua wengi hamjawahi onja hii !!!!!!



Uchunguzi wa nguvu ilipasa ufanyike!!

Shukrani kwa Kilimanjaro Aviation Logistics Center LTD.

2 comments:

Anonymous said...

keki inamalavu lavu hahahaaaaaaaaa.
umeshawekewa juju subiri sasa impact yake... hahahaaa
ila kama ulikumbuka "kuvunja" hapo utakuwa umenusurika...

Anonymous said...

Mh! Hiyo desert imetulia. I'v never seen it before.