Tafuta/Search This Blog

Sunday, December 7, 2008

Arusha mpaka Moro

Arusha kulikuwa na baridi sana na ukungu wakati ninaanza safari.



Upinde wa mvua kama unavyoonekana katika maeneo ya KIA junction na Maji ya Chai.


Between Same and Hedaru.

Mazinde Sisal plantation


Thame




Msamvu, Morogoro.




Nilipata safari fupi ya Morogoro siku ya alhamisi tar4 Dec kwa ajili ya Graduation ya bwana mdogo Josh kule Morogoro vijijini, Mzumbe. hayo ni baadhi ya mapicha niliyofanikiwa kuyapiga njiani!
Picha za Graduation zitawajia siku za karibuni kutoka katika ofisi ya kuu ya Dar.
Kaka Gee, Arusha.

No comments: