Tafuta/Search This Blog

Monday, December 22, 2008

Ilikua Siku yao waliopendana.

Bibi na Bwana Arusi wadogo
Ezekiel na Emiliana. Du! Ezekiel ameng'ang'ania mkono si mchezo.


Baada ya chiaz tunyweshane. Ktk mapozi hawa wamefuzu. Mungu awabariki.


mambo ya maakuli.


unaweza kudhani ni Wingereza. Vijana wadogo wakiwa ndani ya suit.





No comments: