Tafuta/Search This Blog

Wednesday, September 5, 2012

SOMA NJE YA NCHI


 Dasprom Tanzania pamoja na Dort Africa Company LTD  wanawaletea Utaratibu Mzuri kwa WENYE NDOTO ZA KUSOMA NJE YA NCHI. Masomo kwa bei nafuu kumwezesha Mtanzania wa kipato hadi cha chini kumudu gharama.. Ni katika nchi za USA, Australia, UK nchi za Kiscandnavia na Ukraine, Wale waliofaulu elimu ya Sekondari form 4 na form 6  na wanataka kujiunga na digrii ya kwanza, au wale wa Vyuo kwa kujiunga na  Master degree tafadhali tembelea mtandao wetu www.overseastudies.info au piga simu lucas  0713538820 na 0754871147...Eneza 0784494906 .na 0718817706 au barua pepe.. dsm@europe.com  lucasmathw@yahoo.com . Skype Wahi kupata nafasi hii.
Ofisi zetu zipo Mnazi Mmoja Jengo la Ushirika Ghorofa ya  7 chumba namba  710 na 711
Tufikie kwa jinsi unayoona ni rahisi zaidi kwako.

No comments: