Tafuta/Search This Blog

Friday, August 10, 2012

USIKU WA REGINA 9/8/2012 MSASANI BEACH CLUB (MAKUTI)

Siku ya Regina Kokubanza Divas ,..... matukio machache katika picha.. ilikua ni Birthday yake pia.... karibu utazame...
 Regina ktk Pozi la Saluni


 Na Uzuri unachangia


 Mrembo Reginaktk tabasamu la Send Off yake tar 9/8/2012 ambayo pia ni siku yake ya kuzaliwa.


 Pozi
 Mama wazaa hema


 Baba Mzaa chema ndani ya JUMBA


 Keki ya Send Off na Dirthday ya Regina Kokubanza Divas


 Mzee wa Heshima


 Dr. Pracseda.... mgeni aliyependeza kupita wote ( Tathmini ilifanywa na Blog hii)


 Baba mzaa chema akizirudi mbele ya ukumbi huku akisaidiwa na wapambe wake.. mahalah ilikua nzuri


 Bi Regina na Mpambe wake ktk POZIIIII


 Bwana Arusi mtarajiwa na Bi Regina Mr&Mrs to be.. (kama watakavyopendeza katika Arusi yao)


 Tulikula nini?


 Shalom Broz Production (Mitambo)


 Wamependezaje!


 Wosia wa Baba


 Burudani kabambe.. song (Sasa nimehamia Mtaa wa Saba...)


 Kwaito ikisakatwa.... Ilikua raha kupitiliza
Mambo ya Kwaito...
JJ Mwijage, Msuya the Blogger na Sister Hafsa Big Boss...

WAFANYAKAZI A HOSPTALI YA TAIFA MUHIMBILI.
kutoka kulia ni Sr. Lymo, Msuya Eneza, JJ Mwijage. Wa pili Kutoka kushoto ni Sr Letisia na Zainab

Picha na Eneza Msuya wa Shalom Broz Productions
+255718817706 na +255784494906

No comments: