Tafuta/Search This Blog

Monday, July 19, 2010

Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro!

SBP ilipata nafasi ya kutembelea maeneo ya Ugweno katika wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. Hizi ni taswira za huko na kwa kweli Tanzania bado ni nchi nzuri ya kupendeza!!

Huko ni fullu maDish yaani ni mahabari na kila kitu cha lininga!!



Hili ni ghorofa lililojengwa kabla ya miaka ya 1945 na hadi leo lipo gado kama linavyoonekana. Ajabu!

1 comment:

Anonymous said...

Panafaa kuishi huko. nipe gharama ya viwanja