Tafuta/Search This Blog

Thursday, April 21, 2011

Elikarim apata JIKO, awa mwili Mmoja na Faith

Elikarimu and Faith ktk pozi


Wamependeza. Baada ya kuunganishwa....


Tunapenda watoto..


" Msimamizi alinisaidia" Wachache sana husema maneno haya baada ya Arusi... Faith alisema hayo kwani dada huyu msimamizi alijituma kweli..


Itakua kazi yangu


Pozi la wanaumeeee



Mke mwema ni huyu aliyetoka kwa bwana..




KARIM NDANI YA SUTI...... Akiwa na mkewe Faith ktk Arusi yao tar 26 March 2011.

Warembo



Zawadi


Kaka mdoogo akiwa mbele



















































































Walipanda humu

No comments: