Tafuta/Search This Blog

Thursday, June 16, 2011

Siku ya Mtoto wa AFRIKA. (African Child Day)

Yaaaaaaaap! Emmanuel: Mtoto kamili wa Africa.




Kutoka kushoto ni Lukundo, Eliza Mwl Eneza, na Rachel


Watoto tunatani sana Kuoneshwa kuwa wenzetu na wazazi wanatujali sana.... Jali na kupenda watoto kila siku


Wanahitaji kupendwa na KUWAJALI



Hawa ni wa DAR lakini wanawakilisha wale wa Africa


hili ni Taifa la kesho na Keshokutwa.


No comments: