Tafuta/Search This Blog

Thursday, July 28, 2011

SBP waendeleza Mashambulizi.... Kakalao latangaza nia. Ndoa tar 6 Nov

Mambo haya huendana na Hissia


Enson akimvisha mchumba wake Rest Pete ya Uchumba...

Maombi kutoka kwa wachungaji na Wazee. Kulia ni Mch S.Molel wa TAG Kigogo/Mburahati

Mahanjumati yalirindima kupendezesha cku hiyo.

Fahari ya vijana ni nguvu zao. Enson Juujuu akipelekwa mbele kwa mbwembwe.


Mavuvuzela yalikuepo kusherehesha siku hiyo tar 10 July 2011. Mch Manase Mhiro akilivumisha. wasambaa wanaliita "GUNDA"

1 comment:

Subi Nukta said...

Pongezi kwa hatua hii.
Nakutakieni kila la heri katika safari mliyoianza!
Mbarikiwe!!!