Tafuta/Search This Blog

Wednesday, October 12, 2011

NEW LIFE BAND LIVE IN MWANZA


Jumapili ya tarehe 9October New Life Band walikuwa katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza kwa ajili ya tamasha la kusifu na kuabudu. Mambo yalikuwa mazuri sana na hizi ni baadhi ya picha!!
Eliud, Goodluck na Jimmy Kimutuo wakisebenesha!!
Kaka Abednego doing his things!

Jimmy, Abednego na mzee Gideon.
Pastor Isaya na Askofu Batenzi wakitoa neno la ufunguzi.


wananchi wakiserebuka - ayee Mungu wa milele wa mapendo Mungu wa milele!!

No comments: