Tafuta/Search This Blog

Thursday, October 20, 2011

Hatimaye Ghaddafi AKAMATWA!!!!

Habari zilizoandikwa hivi punde na BBC zinasema kwamba kiongozi wa Zamani wa Libya Kanali M. Gaddafi amekamatwa na kikosi kinachompinga.
Inasemekana amekamatwa akiwa na majeraha na amepelekwa kwenye hospitali kwa kutumia gari la kubeba wagonjwa.

Kwa habari zaidi fuatilia kwenye link ya BBC hapa chini.

No comments: